esitena tetena
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 1,747
- 1,082
ukiwauliza hadi sasa wamewaletea maendeleo gani wabongo wanakujibu kuwa Lowassa ni fisadi!Lazima watu wafanyekazi halali na kipato halali..wale ambao wameathiriwa na wapiga dili wakapatikana katika mtego wa awamu hii watusamehe tu..sisi tunasonga kuwaletea maendeleo wabongo..hiyo ni kauli ya wanaounga mkono JPM...the reverse is true..