Hatimaye Serikali ya rais Magufuli Pumzi imekata, moja haikai mbili haikai

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Asalaam aleyku,

Sasa ndo nmeanza kuelewa kwanini rais Magufuli anasema tumuombee. Nami naungana naye kusema tumuombee.

Hatimaye Serikali ya rais Magufuli Pumzi imekata, moja haikai mbili haikai. Wasaliti wote wamerudi CCM, sasa hatuna wa kumsingia, Jeshi la Polisi limewakamata wote wanaofanya uchochezi mtandaoni hadi wameisha hawana wa kumakamata. Lakini bado CCM imeshindwa kuishauri Serikali.

Sasa hivi kila Mtanzania kakaa pembeni anaangalia Jinsi Serikali ya Magufuli inavyopambana na Mabeberu. #HAPAKAZITU! imegeuka na kuwa hapa #JANJAJANJATU! mradi siku zisonge..

Na wale walio karibu na rais endeleeni hivyo hivyo, kila anachoongea mpigieni makofi na Vigelegele asijesema hamumuungi mkono mkatumbuliwa.

Kwasababu anaona mawazo yake ndo sahihi yaweza endesha nchi, tumuunge mkono amalize muda wake, ila msitegemee jipya zaidi ya hotuba zake kila siku kuongea Mabarabara, ndege, flyovers watumishi hewa vyeti hewa. Hotuba haibadiliki miaka mitatu sasa. Hii inamaanisha hakuna jipya.

Habari mpya kutoka kwake wananchi wanaoisubiria kuisikia ni kamtumbua nani, kamchagua nani na kamfokea nani.

Hakuna anayetegemea Magufuli aongelea ni jinsi gani au mpango mkakati gani alio nao wa kuondoa umasikini..

Kwa upande wangu naona analalamika kwamba nchi hii imeibiwa sana, nchi hii ni tajiri. Lakini hachukui hatua, wanaishia kukamatwa Wakina Kisena na Wanachama wa vyama vya Upinzani utafikiri ndo walikuwa madarakani kabla yake.



Kama tusipomuombea atukwamue hapa tulipo, sisi Wananchi ndio tutakao umia, sababu yeye, mke wake na Wanaye wanaendelea kula kodi zetu huku wakipiga mluzi sababu hawana cha kupoteza.

Ukiona Miradi mikubwa ya nchi, hapa namanisha ile miradi ambayo haizinduliwi na mwenge.. ukiona imeanza kusitishwa jua mbele giza kwa mkuu.

Sasa kupanga ni kuchagua. Tuendelee na Miradi mkose mishahara na madawa au tusitishe miradi muendelee kupata mishahara? Tumuombee rais wetu ili Mungu amfanyie wepesi kutuletea maendeleo

Mradi wa Stiegler's gorge hela iliyotengwa haitoshi, nasikia inatakiwa kuongezwa na mkuu hela hana sababu TRA hawasomeki.

SGR inaweza ikaishia Morogoro kama hali itaendelea kuwa hivi. (Kwa ufupi hela ya mradi wa SGR imekata)

Sasa hivi wakienda kuomba msaada wanaambiwa ngoja tuangalie Demokrasia nchini mwako ipoje.. Wakishaangalia wanasema tunapitia mkataba upya, nchi inaendesha bila kufuata misingi ya Demokrasia. Ndo maana tunahitaji kumubea Mungu amuepushe na Magumu anayopitia.

Wawekezaji wa kujenga Viwanda hamna wapya wanakuja sababu ya Sera mbovu ya uwekezaji na mabadiliko ya kodi yasiyotabirika

Hadi atakapotoa na kufuta kabisa akili mwake mawazo ya kuwaona wapinzani wake wa kisiasa au watu wasio CCM sio watanzania. CCM haiwezi kuiletea Maendeleo Tanzania, na Magufuli kuendelea kuwakumbatia CCM anakumbatia Umasikini.

Tanzania inatajengwa na Watanzania wote. Lakini bila kuwa na umoja hatuvuki hapa. Tunatakiwa tuwe kitu kimoja, hii ya kuwabagua baadhi ya Watanzania huwezi fika popote.

Rais Magufuli asione aibu, amuite Hashim Rungwe, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe, Maalim Seif, Lipumba, Mbatia na wengine, wakae pamoja waangalie ni namna gani tutatoka hapa kama nchi.

Siasa ni maendeleo, bila siasa hakuna maendeleo. Na siasa ni wanasiasa. Lakini tusipoungana kama watanzania hata hizo ndege tutashindwa zipeleka gereji.

Nashukuru Mungu CCM wamemchoka na 2020 hawamrudishi Madarakani.. Atapata kura 32, Membe kura 2,080 halafu ndo wafuate hao wakina Januari.

Tumuombee amalize kipindi chake salama akapumzike Chato ale hela za kustaafu.

Wapinzani ukiwakataza kufanya siasa Majukwaani, wanaenda kufanyia Siasa kwenye chanzo chako cha fedha. Wapinzani ndo walipa kodi Wakubwa, sasa wamesusa kulipa na TRA inateteleka.

Bila kuwaaweka Watanzania Pamoja, kila siku itakuwa Mabeberu Mabeberu.
 
Mradi wa Stiegler's gorge hela iliyotengwa haitoshi, nasikia inatakiwa kuongezwa na mkuu hela hana sababu TRA hawasomeki.

SGR inaweza ikaishia Morogoro kama hali itaendelea kuwa hivi. (Kwa ufupi hela ya mradi wa SGR imekata)
When your glasses fall on dog shit, everything looks brown. You won't see progress because your vision is compromised.
 
" Nashukuru Mungu CCM wamemchoka na 2020 hawamrudishi Marakani.. Atapata kura 32, Membe kura 2,080 halafu ndo wafuate hao wakina Januari..."

Kama kweli CCM imemchoka, 2020 nguvu ya ziada yafaa kumuondoa maana kazidi miaka 4 tangu aingie madarakani hakuna hanachofanya. Ni vyema akapumzika kwa hii miaka 5 inaonesha wazi kabisa Mh. Hana kipaji cha uongozi. He is completely a looser and a worst president ever happen in Tanzania
 
Asalaam aleyku,

Sasa ndo nmeanza kuelewa kwanini rais Magufuli anasema tumuombee. Nami naungana naye kusema tumuombee.

Hatimaye Serikali ya rais Magufuli Pumzi imekata, moja haikai mbili haikai. Wasaliti wote wamerudi CCM, sasa hatuna wa kumsingia, Jeshi la Polisi limewakamata wote wanaofanya uchochezi mtandaoni hadi wameisha hawana wa kumakamata. Lakini bado CCM imeshindwa kuishauri Serikali.

Sasa hivi kila Mtanzania kakaa pembeni anaangalia Jinsi Serikali ya Magufuli inavyopambana na Mabeberu. #HAPAJAZITU! imegeuka na kuwa hapa #JANJAJANJATU! mradi siku zisonge..

Na wale walio karibu na rais endeleeni hivyo hivyo, kila anachoongea mpigieni makofi na Vigeregere asijesema hamumuungi mkono mkatumbuliwa.

Kwasababu anaona mawazo yake ndo sahihi yaweza endesha nchi, tumuunge mkono amalize muda wake, ila msitegemee jipya zaidi ya hotuba zake kila siku kuongea Mabarabara, ndege, flyovers watumishi hewa vyeti hewa. Hotuba haibadiliki miaka mitatu sasa. Hii inamaanisha hakuna jipya.

Habari mpya kutoka kwake wananchi wanaoisubiria kuisikia ni kamtumbua nani, kamchagua nani na kamfokea nani.

Hakuna anayetegemea Magufuli aongelea ni jinsi gani au mpango mkakati gani alio nao wa kuondoa umasikini..

Kwa upande wangu naona analalamika kwamba nchi hii imeibiwa sana, nchi hii ni tajiri. Lakini hachukui hatua, wanaishia kukamatwa Wakina Kisena na Wanachama wa vyama vya Upinzani utafikiri ndo walikuwa madarakani kabla yake.

Kama tusipomuombea atukwamue hapa tulipo, sisi Wananchi ndio tutakao umia, sababu yeye, mke wake na Wanaye wqnaendelea kula kodi zetu huku wakipiga mluzi sababu hawana cha kupoteza.

Ukiona Miradi mikubwa ya nchi, hapa namanisha ile miradi ambayo haizinduliwi na mwenge.. ukiona imeanza kusitishwa jua mbele giza kwa mkuu.

Sasa kupanga ni kuchagua. Tuendelee na Miradi mkose mishahara na madawa au tusitishe miradi muendelee kupata mishahara? Tumuombee rais wetu ili Mungu amfanyie wepesi kutuletea maendeleo

Mradi wa Stiegler's gorge hela iliyotengwa haitoshi, nasikia inatakiwa kuongezwa na mkuu hela hana sababu TRA hawasomeki.

SGR inaweza ikaishia Morogoro kama hali itaendelea kuwa hivi. (Kwa ufupi hela ya mradi wa SGR imekata)

Sasa hivi wakienda kuomba msaada wanaambiwa ngoja tuangalie Demokrasia nchini mwako ipoje.. Wakishaangalia wanasema tunapitia mkataba upya, nchi inaendesha bila kufuata misingi ya Demokrasia. Ndo maana tunahitaji kumubea Mungu amuepushe na Magumu anayopitia.

Wawekezaji wa kujenga Viwanda hamna mpya anayekuja sababu ya Sela mbovu ya uwekezaji na mabadiliko ya kodi yasiyotabirika

Hadi atakapotoa na kufuta kabisa akili mwake mawazo ya kuwaona wapinzani wake wa kisiasa au watu wasio CCM sio watanzania. CCM haiwezi kuiletea Maendeleo Tanzania, na Magufuli kuendelea kuwakumbatia CCM anakumbatia Umasikini.

Tanzania inatajengwa na Watanzania wote. Lakini bila kuwa na umoja hatuvuki hapa. Tunatakiwa tuwe kitu kimoja, hii ya kuwabagua baadhi ya Watanzania huwezi fika popote.

Rais Magufuli asione aibu, amuite Hashim Rungwe, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe, Maalim Seif, Lipumba, Mbatia na wengine, wakae pamoja waangalie ni namna gani tutatoka hapa kama nchi.

Siasa ni maendeleo, bila siasa hakuna maendeleo. Na siasa ni wanasiasa. Lakini tusipoungana kama watanzania hata hizo ndege tutashindwa zipeleka gereji.

Nashukuru Mungu CCM wamemchoka na 2020 hawamrudishi Marakani.. Atapata kura 32, Membe kura 2,080 halafu ndo wafuate hao wakina Januari.

Tumuombee amalize kipindi chake salama akapumzike Chato ale hela za kustaafu.

Wapinzani ukiwakataza kufanya siasa Majukwaani, wanaenda kufanyia Siasa kwenye chanzo chako cha fedha. Wapinzani ndo walipa kodi Wakubwa, sasa wamesusa kulipa na TRA inateteleka.

Bila kiwaweka Watanzania Pamoja, kila siku itakuwa Mabeberu Mabeberu.
Kuna mengi ya kujifunza kupitia huu uzi ila kwakuwa ni serikali tukufu na sikivu inayoongozwa na malaika tusitegemee kuona kuna kitu watachukua hapa.
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli,atakama utabezwa msg imefika.
Kuna wakati nashangaa sana hotuba za viongozi hazifanani na matendo yao.Anachokisema mkuu wa nchi kinapingwa kwa matendo na wasaidizi wake kanakwamba kuna ushindani wa ndani ya serikali na viongozi wengi hawajui wapi wanataka nchi ielekee .
 
Asalaam aleyku,

Sasa ndo nmeanza kuelewa kwanini rais Magufuli anasema tumuombee. Nami naungana naye kusema tumuombee.

Hatimaye Serikali ya rais Magufuli Pumzi imekata, moja haikai mbili haikai. Wasaliti wote wamerudi CCM, sasa hatuna wa kumsingia, Jeshi la Polisi limewakamata wote wanaofanya uchochezi mtandaoni hadi wameisha hawana wa kumakamata. Lakini bado CCM imeshindwa kuishauri Serikali.

Sasa hivi kila Mtanzania kakaa pembeni anaangalia Jinsi Serikali ya Magufuli inavyopambana na Mabeberu. #HAPAJAZITU! imegeuka na kuwa hapa #JANJAJANJATU! mradi siku zisonge..

Na wale walio karibu na rais endeleeni hivyo hivyo, kila anachoongea mpigieni makofi na Vigeregere asijesema hamumuungi mkono mkatumbuliwa.

Kwasababu anaona mawazo yake ndo sahihi yaweza endesha nchi, tumuunge mkono amalize muda wake, ila msitegemee jipya zaidi ya hotuba zake kila siku kuongea Mabarabara, ndege, flyovers watumishi hewa vyeti hewa. Hotuba haibadiliki miaka mitatu sasa. Hii inamaanisha hakuna jipya.

Habari mpya kutoka kwake wananchi wanaoisubiria kuisikia ni kamtumbua nani, kamchagua nani na kamfokea nani.

Hakuna anayetegemea Magufuli aongelea ni jinsi gani au mpango mkakati gani alio nao wa kuondoa umasikini..

Kwa upande wangu naona analalamika kwamba nchi hii imeibiwa sana, nchi hii ni tajiri. Lakini hachukui hatua, wanaishia kukamatwa Wakina Kisena na Wanachama wa vyama vya Upinzani utafikiri ndo walikuwa madarakani kabla yake.

Kama tusipomuombea atukwamue hapa tulipo, sisi Wananchi ndio tutakao umia, sababu yeye, mke wake na Wanaye wqnaendelea kula kodi zetu huku wakipiga mluzi sababu hawana cha kupoteza.

Ukiona Miradi mikubwa ya nchi, hapa namanisha ile miradi ambayo haizinduliwi na mwenge.. ukiona imeanza kusitishwa jua mbele giza kwa mkuu.

Sasa kupanga ni kuchagua. Tuendelee na Miradi mkose mishahara na madawa au tusitishe miradi muendelee kupata mishahara? Tumuombee rais wetu ili Mungu amfanyie wepesi kutuletea maendeleo

Mradi wa Stiegler's gorge hela iliyotengwa haitoshi, nasikia inatakiwa kuongezwa na mkuu hela hana sababu TRA hawasomeki.

SGR inaweza ikaishia Morogoro kama hali itaendelea kuwa hivi. (Kwa ufupi hela ya mradi wa SGR imekata)

Sasa hivi wakienda kuomba msaada wanaambiwa ngoja tuangalie Demokrasia nchini mwako ipoje.. Wakishaangalia wanasema tunapitia mkataba upya, nchi inaendesha bila kufuata misingi ya Demokrasia. Ndo maana tunahitaji kumubea Mungu amuepushe na Magumu anayopitia.

Wawekezaji wa kujenga Viwanda hamna mpya anayekuja sababu ya Sela mbovu ya uwekezaji na mabadiliko ya kodi yasiyotabirika

Hadi atakapotoa na kufuta kabisa akili mwake mawazo ya kuwaona wapinzani wake wa kisiasa au watu wasio CCM sio watanzania. CCM haiwezi kuiletea Maendeleo Tanzania, na Magufuli kuendelea kuwakumbatia CCM anakumbatia Umasikini.

Tanzania inatajengwa na Watanzania wote. Lakini bila kuwa na umoja hatuvuki hapa. Tunatakiwa tuwe kitu kimoja, hii ya kuwabagua baadhi ya Watanzania huwezi fika popote.

Rais Magufuli asione aibu, amuite Hashim Rungwe, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe, Maalim Seif, Lipumba, Mbatia na wengine, wakae pamoja waangalie ni namna gani tutatoka hapa kama nchi.

Siasa ni maendeleo, bila siasa hakuna maendeleo. Na siasa ni wanasiasa. Lakini tusipoungana kama watanzania hata hizo ndege tutashindwa zipeleka gereji.

Nashukuru Mungu CCM wamemchoka na 2020 hawamrudishi Marakani.. Atapata kura 32, Membe kura 2,080 halafu ndo wafuate hao wakina Januari.

Tumuombee amalize kipindi chake salama akapumzike Chato ale hela za kustaafu.

Wapinzani ukiwakataza kufanya siasa Majukwaani, wanaenda kufanyia Siasa kwenye chanzo chako cha fedha. Wapinzani ndo walipa kodi Wakubwa, sasa wamesusa kulipa na TRA inateteleka.

Bila kiwaweka Watanzania Pamoja, kila siku itakuwa Mabeberu Mabeberu.
...... Binafsi natamani hadi afike mahali ashindwe kulipa mishahara ya watumishi wa umma ndio iwe self evidence kwamba serikali haina fedha. Unajua asilimia 80 ya watanzania ni purely standard seven ukiwaambia serikali iko hoi bin taabani watakubishia usiku kucha. Pamoja na ugumu huu wa maisha wao bado wananaamini fedha zipo. Mtu ameshindwa kuongeza mishahara huu Mwaka wa nne sasa lakini wajinga wanaamini fedha zipo!!! NAOMBA WAZUNGU WASILEGEZE KAMBA MPAKA ATAMBUE KUWA MSINGI WA MAENDELEO NI SIASA SAFI ZINAZO HESHIMU MISINGI YA KISHERIA NA KUFUATA KATIBA. Haiwezekani wapinzani wote wasifanye siasa tu kwasababu Magufuli hapendi.
 
Siyo Vigeregere ni Vigelegele
Siyo Sela ni Sera,
Kifupi nyie watu mnaboa sana, hata Kama mna hoja nzuri lakini uandishi wenu ni hopeless
Watu kama nyie ndio hopeless kabisa and we have nothing to learn from you!

Hapa content ndicho kitu cha msingi sasa badala ya kuchota hayo maarifa upanue akili unakuja kukosoa writing errors! Utafikiri wewe hujawahi kukosea! Hopeless kabisa.

Kibaya zaidi utakuta mtu kama wewe eti naye ni mshauri wa Rais, ndiyo maana mambo yanafanyika hovyo hovyo bila mpangilio
 
Watu kama nyie ndio hopeless kabisa and we have nothing to learn from you!

Hapa content ndicho kitu cha msingi sasa badala ya kuchota hayo maarifa upanue akili unakuja kukosoa writing errors! Utafikiri wewe hujawahi kukosea! Hopeless kabisa.

Kibaya zaidi utakuta mtu kama wewe eti naye ni mshauri wa Rais, ndiyo maana mambo yanafanyika hovyo hovyo bila mpangilio
Huyo rais mwenyewe anajiita Laisi
 
Back
Top Bottom