Hatimaye Serikali kuanza ukaguzi wa maduka ya dawa yanayouza P2 na misoprostol

Haya maisha bwana, ukienda kwa Mwamposa kuna wanaofunga na kusali wapate watoto wakati mtaani kuna wanao wa flash na Misoprostol
Kwahiyo mkuu wewe unapata shida gani mtu akiamua juu ya mwili wake.
Your body your choice
 
Wakitangaza kufanya msako ni kuwataarifu wazifiche dawa hizo, hekima ni kukaa kimya na kufanya surprise na mitego kujua akina nani wanaouza. wakitangaza ni mbwembwe tu hawata ambulia kitu.
 
Aamegusa zaidi ya nusu ya wanafunzi wa kike wa DAR, 80% ya watoto Dar wanatumiaa P2 alafu mechi wanapiga kavu kavu.

Hii imetokana na kwenda beach party na birthdays, na safari za mbugani, wanapigana mikasi hata kwenye basi maana siku hizi watoto wanajua staili nyingi kuliko wazazi wao, mfano kwenye basi kuna staili ya "kuukalia"hata sii ya mbele hawezi jua kama unaliwa kibwabwa.

shule zinazokwenda beach party wacheni kabisa, yani bora hata kibao kata ama baikoko .
 
wanachotaka ni kusababisha mimba kuwa nyingi mtaani, vijana wengi kuishia jela na ongezeko la watoto wa mitaani..

kibaya zaid ni izo dawa kutupandishia bei maana sasa iv tunanunua 20k sa si zitauzwa hadi 80k
 
wanachotaka ni kusababisha mimba kuwa nyingi mtaani,vijana wengi kuishia jela na ongezeko la watoto wa mitaani..

kibaya zaid ni izo dawa kutupandishia bei maana sasa iv tunanunua 20k sa si zitauzwa hadi 80k
Ushauri wako ni upi sasa bwana mboga..??
 
Back
Top Bottom