funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Eneo lote lililoingia kwenye hifadhi ya barabara limevunjwa na ujenzi wa barabara unaendelea.
Ikumbukwe kuwa miaka takribani kumi Mh Magufuli aliitaka hoteli hii kuvunja sehemu ya hoteli hiyo kwani ilikuwa kwenye hifadhi ya barabara lakini kulitokea ubishi na mapingamizi.
Ikumbukwe kuwa miaka takribani kumi Mh Magufuli aliitaka hoteli hii kuvunja sehemu ya hoteli hiyo kwani ilikuwa kwenye hifadhi ya barabara lakini kulitokea ubishi na mapingamizi.