ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,205
- 8,235
Pole dada kwa yaliyokukuta na hongera kwa kuepusha msongamano na kuamua kujiweka pembeni. Huyo side B naomba muendelee kuwa marafiki tu, hata kama yeye anazungumzia masuala ya ndoa, wewe ni mwanamke bado unaweza kumpa majibu mazuri tu amabyo hayatamkwaza. Naungana na member wengine wote waliosema utulie kwanza, jipe muda atleast hata mwaka hivi ndo uanze kuangalia masuala ya mahusiano tena, sawa mwanangu? (Mwanangu coz unajina kama la mwanangu) Mungu akutangulie ma babygirl