On This One
JF-Expert Member
- Nov 30, 2021
- 531
- 471
wakuuuuuuuu habari zenu [emoji120][emoji120][emoji120]
ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana . nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za tanzania ni mateso. wamenihukumu bila kosa mimi. sema sawa tu MUNGU yupo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
badaeni ngoja kwanza nipumzike
Pole sana mdau. Duniani hakuna haki, uonezi mwingi. Yote muachie Mungu!wakuuuuuuuu habari zenu [emoji120][emoji120][emoji120]
ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana . nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za tanzania ni mateso. wamenihukumu bila kosa mimi. sema sawa tu MUNGU yupo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
badaeni ngoja kwanza nipumzike
True..hata kama yey3 sio mwizi lakini itakua.ndio mchora ramani hizoMpaka uhisiwe uliiba ng'ombe na kukamatwa,,kuna shida mahali,
Aidha Kuna namna unavyoishi kwenye hio jamii yako mpaka wakakuhisi, au Kuna namna jamii inavyokuchukulia,,,,
Kwa mantiki hiyo, Moja kwa moja unaweza kuelewa wewe Ni mtu wa aina gani kwenye jamii yako,,, kuanzia life style/standard, kampani zako n.k !
Anyway ndo uanaume!!
Mimi ni kijana wa hovyoooo mwenye uhovyo wangu hapa LILLE nchini FRANCE nikiwa nasomea urubani.
Ustarabu ni jadi yangu.
kutetema ndo raha yanguuu
pombe ndo maji yangu
wizi ndo tabia yangu
mabibi na mabwana wote tuanze kwa kusema "MAMA AMINA[emoji28]"
AHSANTENI SANA
Hahaha, haya majina saa nyingine siokweli wewe msukule mzembe, pole sana
Usiombe yakukute,miti yote huteleza! Tamea mate chini upepo mchafu usikukumbe hapa Duniani! Ndiyo maana tunasema hujafaa hujaumbika!!!kweli wewe msukule mzembe, pole sana
Achana nae huyo,yeye anazani kila Mtu mwizi!! Mi kuna Shemeji yangu,kakaa barazani kwake,ghafla wakimbiza mwizi wakaanza kumpa ki bano kitakatifu wakizani kua ndiyo mwizi! Bahati nzuri walitokea watu wawili,watatu wakamtetea kua wanamjua!!asa mimi niibe ili iweje
huwezi jua. ika tupo pamojaHuo ni uzembe wa msukule.
sana yanihatari sana
nitakuja pundeLeta story na mateso za uko jela
kaushaView attachment 2322947
WIZI NDO TABIA YAKO
asante sana mzeeeKaribu uraiani
wengine wanarudi mashoga kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]Anaesema jela ni ya wanaume hayajamkuta! Jela isikie kwa mwenzako tu ma usiombe kuwa mfungwa! Ni mateso unaweza kwenda mzima ukarudi na magonjwa mbalimbali makubwa makubwa.
mimi na huyo jamaa mnaemuhisi hatujuani. hatuna uhusiano wowoteBila shaka unahisi yule jamaa mwenye a/c mwishoni inaishia na village?