dr shayo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 555
- 974
Wakuu habari za mida.
Direct kwenye mada, baada ya kukaa single muda mrefu nikaona nitafute pisi kali nikae nayo kwa muda ikikaa mkao niingize ndichi. Kama miezi miwili imepita nimekutana na pisi kali kwenye usafiri wa umma. Bahati nzuri tukashukia kituo kimoja, tukawa na moment nzuri mara nikatia sound imoo.
Sasa mimi ninachoona maajabu tokea muda huo mpaka sasa hivi hajanipiga kibom chochote namlia timing tuu nimsikilizie. Kwa maana nimezoea kila ninayepiga sound lazima kila ninayepiga sound lazima anipige kibom sasa huyu sijui anaandaa bom la nyuklia?
Direct kwenye mada, baada ya kukaa single muda mrefu nikaona nitafute pisi kali nikae nayo kwa muda ikikaa mkao niingize ndichi. Kama miezi miwili imepita nimekutana na pisi kali kwenye usafiri wa umma. Bahati nzuri tukashukia kituo kimoja, tukawa na moment nzuri mara nikatia sound imoo.
Sasa mimi ninachoona maajabu tokea muda huo mpaka sasa hivi hajanipiga kibom chochote namlia timing tuu nimsikilizie. Kwa maana nimezoea kila ninayepiga sound lazima kila ninayepiga sound lazima anipige kibom sasa huyu sijui anaandaa bom la nyuklia?