Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,241
- 79,799
Hii inafaa mkae chini mmalize tofauti zenuWana jamii naombeni mumu ambie huyu dada, asi nizoee tafadhali.
Jana Katoka kuni tukana bila kosa, Leo ana nishobokea🤓.
Sasa kaanza kuni tukana.
Niki mjibu, Nisije onekana mi mkorofi🙏🙏, Depal, Mpaji Mungu, Nuzulati, Charles kilian, Hannah, Aaliyyah,
View attachment 2923065
Dogo ka endelee kupiga Picha Roby one fashion🤓🤣.Hii inafaa mkae chini mmalize tofauti zenu
Nani huyo😂😁😁😁
Nani huyo😂😁😁😁
Kwangu umeruka mkojo umeangukia......!Jamani wewe😂😂😂.. tutafika mbali sana na hauta amini
Duuuh🤔🤔🤔..Inabidi mfunge ndoa haraka, lasivyo akishaizoea ataanzisha vitimbi vya kukuacha.
Dada yangu amerudishwa hapa home, baada ya kutumika kwa mumewe kwa miaka kadhaa na watoto juu 😀; hapa tulipo tunajipanga kwa kesi ya kugawana mali.
Hawa ndio Wana JF wa humu lakini naheshimu mawazo Yao. Yaani wanadhani ni Mimi kwa sababu ya ule Uzi ? Aisee 🤔Umeenda Op kabisa…
Anyways its fine thank you😚
Daaaah ila wee jamaaa😂😂😂Au wamwite Nikifa MkeWangu Asiolewe kama akiwa wa kiume.
Nipo good a bit. Shingo linauma kweli. Halafu wanaokuvimbia unakuta ni wadogo wa form two tu bila aibu. 😂😂😂Uzuri nishawazoea hawanipi shida.. vipi lakini unaendeleaje??
Hata imeanza mchana tu na nilikuwa maeneo ya mbali sikuwa nimelala kabisa.Pole sana aisee,, ulilala vibaya au shida nini na hiyo shingo😃🧐
😀😀😀Mmm kumbe na wewe mdau wa show show check kama imo!
Wewe😍
Haya unanicheka okay mie kwa mapenzi na ntu humu hapana so usiogopeHahahahaha
Hongera mkuu,mshukuru Mungu,zidi pia kutuombea na sisi tupate kama wwew ulivyopata, inshallahGood morning ma lovers,
Moja kati ya vitu ambavyo tunatakiwa kuepukana navyo na kupambana navyo kwa namna yoyote ile ni pamoja na upweke and finally Leejay49 nimelishinda hili.
Maana haikua rahisi being single for almost two years, na nilishagive up kwamba hakuna mapenzi ya kweli due to senarios zilizojirudia kwa ambao nilidhani wangekua wapenzi wangu (Uongo na maisha ya kuigiza) vilinitoa kwenye reli kabisa.
Sikua na option nyingine zaidi ya kukubali kuwa i will be single forever🥹🥹, kutafuta sana hela kwa nguvu na akili zangu zote, but still haikusaidia maana i used to spend alot of it nikidhani i will find peace of heart na sikuwahi kuipata. Ikafika hatua nikawa namuogopa kila mtu atakayeniface na kushow interest ya kua na mimi.. Haikua rahisi
But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana. Lilikuwa ni miongoni mwa maombi yangu ya mwisho kabisa, yaani kuomba kwajili ya mwanaume wa ndoto zangu, ilikua ni maombi extra baada ya kuombea kila kitulakini gues what, limetimia kabla ya wakati!
I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect kama mimi ambavyo siko perfect but we can make it na tutafika mbali (Mungu wangu ninayemwamini hajawahi kuniacha na hata kwenye hili pia naamini hataniacha).
Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tuanayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love
Muwe na Jumapili iliyo njema.