Hatimaye nimempata!

Inabidi mfunge ndoa haraka, lasivyo akishaizoea ataanzisha vitimbi vya kukuacha.

Dada yangu amerudishwa hapa home, baada ya kutumika kwa mumewe kwa miaka kadhaa na watoto juu 😀; hapa tulipo tunajipanga kwa kesi ya kugawana mali.​
Duuuh🤔🤔🤔..
Kwakweli wacha nikae mguu sawa na mimi yasinikute
 
Hongera mkuu,mshukuru Mungu,zidi pia kutuombea na sisi tupate kama wwew ulivyopata, inshallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…