Hatimaye nimempata anayenipenda, naye ananipenda! Aisee, love is a beautiful thing

enjoy mwayaaaa, wakati wa kufurahi make sure unafurahi haswaaa na kipindi cha kulia kikifika utakabiliana nacho. Maisha ni leo
 
enjoy mwayaaaa, wakati wa kufurahi make sure unafurahi haswaaa na kipindi cha kulia kikifika utakabiliana nacho. Maisha ni leo
Safari hii ni kufurahi tu hakutakuwa na wakati wa kulia kwa uwezo wa Bwana 🙏
 
Aisee nimekamatika mpaka jana nikatoroka, na leo nimesingizia naumwa ili niwe nae nisiende ofisini. Mimi ni mchapakazi sana na mara ya nyingi ni wa mwisho kuondoka ofisi, lakini naona mapenzi yataenda kufanya kibarua chagu kiote nyasi

Mahusiano haya yenye mwezi sasa yanazidi kunibadilishia misingi ya maisha. Nampenda huyu kijana na sikuwahi kudhani nitasalimu amri kwa mtu kiasi hiki.

Ananipenda sana na kadri siku zinavokwenda hatupoi. Nifanyaje mambo yasibadilike huko mbeleni na kibarua changu kisije kuota nyasi?
Hongera na kila lakheri!
 
Natamani nimpende mtoto wa mtu mpaka nae aje alete uzi kama huu, sijui nakwama wapi
 
Nasoma comment.
IMG-20240220-WA0012.jpg
 
Aisee nimekamatika mpaka jana nikatoroka, na leo nimesingizia naumwa ili niwe nae nisiende ofisini. Mimi ni mchapakazi sana na mara ya nyingi ni wa mwisho kuondoka ofisi, lakini naona mapenzi yataenda kufanya kibarua chagu kiote nyasi

Mahusiano haya yenye mwezi sasa yanazidi kunibadilishia misingi ya maisha. Nampenda huyu kijana na sikuwahi kudhani nitasalimu amri kwa mtu kiasi hiki.

Ananipenda sana na kadri siku zinavokwenda hatupoi. Nifanyaje mambo yasibadilike huko mbeleni na kibarua changu kisije kuota nyasi?
Kivumbi kweli ukiachwa pia tushirikishe
 
Mwezi tu umeanza shuhuda😁
Amini amini nakuambia
Kitunze kibarua chako kisiote nyasi kwa sababu kiotesha nyasi chaweza ota nyasi wakati wowote
 
Umeanza mwaka vizuri, mfunge ndoa kabisa kama mnapendana kweli kweli.
 
Back
Top Bottom