welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,712
- 3,665
Usikute umekutana na kijana wa hovyo unamuhonga naye anaitumia fursa vizuri ukajishaua unapendwa be care tu!
Unavyo pita, ndo jinsi unavyo jongeaYanaanza kama safari
Isiyokuwa na mwisho 🥰Yanaanza kama safari
Safari hii ni kufurahi tu hakutakuwa na wakati wa kulia kwa uwezo wa Bwana 🙏enjoy mwayaaaa, wakati wa kufurahi make sure unafurahi haswaaa na kipindi cha kulia kikifika utakabiliana nacho. Maisha ni leo
Maintain status..... make sure furaha haikatiki....Safari hii ni kufurahi tu hakutakuwa na wakati wa kulia kwa uwezo wa Bwana 🙏
Hongera na kila lakheri!Aisee nimekamatika mpaka jana nikatoroka, na leo nimesingizia naumwa ili niwe nae nisiende ofisini. Mimi ni mchapakazi sana na mara ya nyingi ni wa mwisho kuondoka ofisi, lakini naona mapenzi yataenda kufanya kibarua chagu kiote nyasi
Mahusiano haya yenye mwezi sasa yanazidi kunibadilishia misingi ya maisha. Nampenda huyu kijana na sikuwahi kudhani nitasalimu amri kwa mtu kiasi hiki.
Ananipenda sana na kadri siku zinavokwenda hatupoi. Nifanyaje mambo yasibadilike huko mbeleni na kibarua changu kisije kuota nyasi?
jmnUkute mtu anaota na kujifariji, hapo tangu asubuhi hata Good morning ya Tigo hajapokea
Kivumbi kweli ukiachwa pia tushirikisheAisee nimekamatika mpaka jana nikatoroka, na leo nimesingizia naumwa ili niwe nae nisiende ofisini. Mimi ni mchapakazi sana na mara ya nyingi ni wa mwisho kuondoka ofisi, lakini naona mapenzi yataenda kufanya kibarua chagu kiote nyasi
Mahusiano haya yenye mwezi sasa yanazidi kunibadilishia misingi ya maisha. Nampenda huyu kijana na sikuwahi kudhani nitasalimu amri kwa mtu kiasi hiki.
Ananipenda sana na kadri siku zinavokwenda hatupoi. Nifanyaje mambo yasibadilike huko mbeleni na kibarua changu kisije kuota nyasi?
kuna nyimbo nzuri sana ya Fali Ipupa inaitwa"mayday"inaanza kisa kama cha huu uzi.Mkuu Usitoe Siri Za Kambi