chaggaa15
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 567
- 468
Hata mimi sioni kitu... inaload mwisho inamaliza afu hamna kituMkuu umetumia browser gani kuadownload hilo file maana kwangu nikidownload inaonesha imemaliza ila file size hiyo ya 800mb haifiki?
Hata mimi sioni kitu... inaload mwisho inamaliza afu hamna kituMkuu umetumia browser gani kuadownload hilo file maana kwangu nikidownload inaonesha imemaliza ila file size hiyo ya 800mb haifiki?
Tembelea TECNO SMARTPHONES Jukwaa maalumu kwa watumiaji wote wa Tecno na Ujifunze mengi Kuhusu TECNO SMARTPHONESKama nilivotanguliza kwenye head baada ya pitapita zangu katika forum mbalimbal hatimae nimefanikiwa kuupdate tecno c8 to android mashamallow a.k.a android 6 now naenjoy muonekano mpya kabisa ni hois new font style, new icon n.k
Hapa nimeanza kuamini kwamba hakuna kisichowezekana kwenye android
Tembelea TECNO SMARTPHONES Jukwaa maalumu kwa watumiaji wote wa Tecno na Ujifunze mengi Kuhusu TECNO SMARTPHONESMbona kwenye hii techno Boom J8 hivyo vitu vipo tu, au Mimi Ndio sielewi??? Uzee huu sasa