Hatimaye nimefanikisha

Hii sukari ya jamaa ina ukakasikakasi fulani hivi.
 
Unaishi zama gani hadi unasafiri na kiasi kikubwa hivyo cha pesa? Au hazikuwa za halali? acha ziende kwa wenye uhitaji. pambaf!
 
na hapo ndio nilikosea
 
Kuna umuhimu sana wa kuandikishana mali unazonunua pamoja na wakili ili ikitokea shida iwe rahisi kutatua. Halafu hela zote hizo ulikua unajiaminije unatembea nazo?
Mkuu uwe makini bwana hizo pesa ni nyingi sana kwa maisha haya...

Nenda mahakamani achana na visasi.. yeye pia atakua anajihami so unaweza sema unampiga halafu upigwe ww au uuwawe kabisa...
Pia uwe mcha Mungu yeye ni mwema atakulinda siku zote... na atakurudishia ulichodhulumiwa...
 
duh! sawa mkuu
 
ntakachokufanyia hutonisahau bado napambana na maisha upya ila kaa ukijua ntapambana na wewe hata ukiwa maiti.kitu ntakachokufanyia itabaki historia kwa kizazi chako chote sitakuacha Salama,nakuahidi ukoo wako wotewatanilaumu kwa ntakachokifanya

Rudi kwa wakili aliyekusaidia mwambie asome hapo...nazani ataelewa kuwa anatakiwà ajiandae kukusaidia katika kesi mpya inayokuja yA MAUAJI....jifunze kusahau na kusamehe utaishi kwa raha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…