MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,569
- 53,583
- Thread starter
- #61
MK254 lowasa anachukua fomu ya urais leo saa tano.leo ngoja nikufumbue macho kidogo "mafisadi wote Tanzania wanatokea kanda ya ziwa " wabongo hawawezi kubisha hili.pia hili li magufuli mimi nilisema toka siku ya kwanza halifai hili lijitu tena nalichukia na nipo tayari kuitwa m'baguzi ni kweli mimi ni mbaguzi lakini hata kabla ya uchaguzi tayari watanzania wameanza kugeuka na kumuwekea magufuli mashaka.magufuli kamaliza bunge bila kujibu ripoti ya CAG ya bilion 263 mali ya watanzania yeye kaila na familia yake.pia anakashfa ya kujengea mahawala hotel (kebby's hotel) hii ipo bamaga karibu na trafic lights ,mkabala na TBC ,kama unaenda mwenge iko upande wa kushoto mita chache baada ya kupita mataa
falcon mombasa Una lipi la kuthibitisha hayo madai, kila mtu ana uhuru wa kukurupuka na madai ya tuhuma dhidi ya mgombezi, lakini cha msingi lazima uambatanishe na thibitisho. Hata Mwakyembe naye aliibuka na kauli zake dhidi ya Lowassa, soma hapa Mwakyembe: Lowassa hana sifa ya kuwa Rais | MwanaHALISI Online
Last edited by a moderator: