Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM

Eeeeh jumapili yangu naona inaenda Murua kabisa .
 
Eeeeh jumapili yangu naona inaenda Murua kabisa .
Jamaa depression itamuua.

Unaambiwa "Utafanikiwa kudanganya kwa muda fulani, lakini huwezi kudanganya wakati wote."

Jamaa alijitia billionea humu, akawa anapost bank statement ana US $ 4m. Hahahaha kumbe jamaa ni hoe hae fix fix nyingi tu. Akirudi bongo anafikia kwenye kijumba kibovu cha mamake pale Mbezi Shule, wakipika dagaa nyumbani anakimbilia kula kwenye vibanda vya chipsi teh teh teh.. Jamaa bongo hata kiwanja hana..
 
Mkuu unajua mengi. Kwani ni verified member ?

Umejuaje anapokaa ni Mbezi ?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe una viwanda vingapi mkuu
 
Waliowekeza mwaka huo wanaviwanda?
 
Kwa uelewa wako tangu mwaka huo anasoma tu hafanyi kazi?
 
Hii ndio comment Bora ya 2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee tangu 2003? Amekomaa sio mchezo yaani hata UDSM ilikua haijabadilisha mfumo wa registration numbers

Hongera Pascal japo umechomoka kwa mbinde kweli kweli, jipange uende law school sasa

Itakuwa ushauri wako kautendea kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…