only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...Akiandika katika mtandao wa Facebook kwenye profile yake katibu mwenezi wa CCM ndugu Nape Nnauye amedai katua Igunga leo asubuhi na kujihakikishia ushindi kwa asilimia 100...Na akatoa kejeli uchwara kwa watanzania kwa kusema na hapa namnukuu kama alivyoandika kwenye profile yake bila kubadilisha neno hata moja....
"Oooh Nape hataenda Igunga".... Nikiwa Igunga leo asb" USHINDI WA CCM IGUNGA NJIA NYEUPEEEE"
....Akaendelea kuchangia baada ya watu kucomment kwenye post yake........
"Mliuliza maswali ya kejeli hapa, nikajaribu kufafanua watu wakaendelea kukejeli tena ni jana tu kuwa mwenezi gani haendi kukisemea chama.. Sasa nipo Igunga njooni mseme tena waungwana.."
Mwisho wa kumnukuu..............
"Oooh Nape hataenda Igunga".... Nikiwa Igunga leo asb" USHINDI WA CCM IGUNGA NJIA NYEUPEEEE"
....Akaendelea kuchangia baada ya watu kucomment kwenye post yake........
"Mliuliza maswali ya kejeli hapa, nikajaribu kufafanua watu wakaendelea kukejeli tena ni jana tu kuwa mwenezi gani haendi kukisemea chama.. Sasa nipo Igunga njooni mseme tena waungwana.."
Mwisho wa kumnukuu..............