Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Kama habari hii ni kweli basi Nape anajidhalilisha maana ni juzi tu hata wiki haijaisha alisema chama chao kitawaachia watu wa Igunga kufanya kampeni tofauti na upinzani ambao viongozi wote wa kitaifa wataenda huko!!!!!!!! Sasa inashangaza anapolamba matapishi yake!!!!!!!! Who can we trust in that party???????????