Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Ana maana alivyofika yeye wana Igunga ndio watakipigia chama?au ataenda kuwaeleza jinsi alivyo mfanyia siasa Uchawara RA mpaka akijiuzulu kwa alizoziita siasa uchwara na mwishowe RA mwenyewe kukubali kurudi jukwaani kufanya siasa Uchwara?
Nadhani kaenda kudhihirisha jinsi CCM ilivyo na siasa uchwara ambazo hazimsaidii mwana Igunga so inabidi wapewe likizo ndefu bila malipo
Nadhani kaenda kudhihirisha jinsi CCM ilivyo na siasa uchwara ambazo hazimsaidii mwana Igunga so inabidi wapewe likizo ndefu bila malipo