<br />Ukiona mtu anaingia kwenye mambo binafsi ya mtu basi ujue kunatatizo kichwani!
<br />Kwani Nape kwenda au kutoenda Igunga kunasaidia nini wakati si mpiga kura,jimbo litaenda kwa kuwa wanaigungfa wameamua kukataa hadaa za ahadi hewa.
Nadhani hoja za kisiasa ujibiwa kisiasa na si mipasho.Nakumbuka alijitokeza hapa katika thread moja ya ''wapi Nape'',alipata kejeli nyingi hapa kuwa amezuiliwa kwenda Igunga kupitia kikao cha kamati kuu ya Chama (CC).Wengi tuliamini hatokwenda kulingana na uvumi uliokuwepo sasa kama amefika basi kulikuwa na uzushi hapa tukubaliane.
Sidhani kama tunapaswa ku-challenge hili.
ukiona mtu anaingia kwenye mambo binafsi ya mtu basi ujue kunatatizo kichwani!
mkuu,
1. kama Rostam nae anashiriki kwenye kampeni, unachukuliaje swala la kujivua GAMBA????
2. Je nikisema CCM kigeugeu utasemaje?
3. Tutaamini vipi kama hawajabadili msimamo kama namba mbili inavyouliza?
fire
Mama angu mzazi amewahi kuniambia,ukiona mwanaume anamatako makubwa mithili ya mwanamke,ujue huyo hana akili kichwani.Huyu kijana amepata pesa zimemharibia mwili yaani anenepa hovyo siku hizi hata kusimama ni shida, asipo angalia atapata Obesity.
Hivi Nape anatumia mchubuo?
I don't think if this guy deserves the post...........ukisoma comments zake nyingi huwa zimebeba ujumbe mwepesi sana na ni za kitoto....Akiandika katika mtandao wa Facebook "Oooh Nape hataenda Igunga".... Nikiwa Igunga leo asb" USHINDI WA CCM IGUNGA NJIA NYEUPEEEE"
"Mliuliza maswali ya kejeli hapa, nikajaribu kufafanua watu wakaendelea kukejeli tena ni jana tu kuwa mwenezi gani haendi kukisemea chama.. Sasa nipo Igunga njooni mseme tena waungwana.."
kauli yake inaonyesha ni wale aliyewataja Masaburi ni kauli nyepesi inayoonyesha kutokomaa kisiasa na kiakili,imekaa kimipasho/kitaarabu.I don't think if this guy deserves the post...........ukisoma comments zake nyingi huwa zimebeba ujumbe mwepesi sana na ni za kitoto.<br />
Watu waliposema hawezi kwenda Igunga hawakuwa na maana ya yeye kufika mjini Igunga ni nini atakachowaambia wana Igunga kwa sababu yeye ni mwathirika wa siasa uchwara. Kitendo cha yeye kusema mmeona sasa nimefika Igunga bila kuainisha atamjibu nini Rostamu alipemtaja yeye ni chanzo cha siasa za uchwara hakina maana yeyote kwenye uwanja wa siasa.