Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,068
- 2,225
mbele ya Sakina kama unaenda Namanga ndio usiseme......mafuriko kabisa.....
hii mvua ina-hama- hama
mbele ya Sakina kama unaenda Namanga ndio usiseme......mafuriko kabisa.....
Ni kweli inanyesha huku maeneo ya Sakina lakini nimempigia jamaa yangu aliye town jua ni kali!
Hii naona ni kipindi cha mavuno kwa Madereva Taxi!
Aya !kwa hapa longijavhe inaigia ndani sasa kupilia dirishani.
mbele ya Sakina kama unaenda Namanga ndio usiseme......mafuriko kabisa.....
Mhandisi ni habari njema maana ng'ombe walikuwa wanakula kwa tabu!BTW nina habari njema
Sasa hivi kitu inakata vumbi iliyosheheni, sijui walioko uwanjani hali ikoje!
ndiyo, mvua imenyesha ndani ya jiji la Arusha. JK ana baraka sana ndo maana mvua zimenyesha leo ndani ya jiji.Hiyo mvua ilikuwa inasubiri Arusha itangazwe jiji ndipo inyeshe? Au imeletwa na JK?
Ni kweli mvua imenyesha kubwa sana katikati ya jiji la Arusha. nilikuwa maeneo ya AICC nikalowana lubega yangu yote. Sasa huyo jamaa anayemdanganya mwenzake kuwa mvua haikunyesha jijini anapata faida gani?Town ipi mkuu mbona hapa maeneo ya AICC ,Immigration, Mifugo na kwa DC, Manispaa, kwa RC tumeshindwa kwenda lunch mvua imemwagika sana na tunamshukuru Mungu kwani tuna ujasiri wa kuandaa mashamba sasa.