Hatimaye Mubarak aachia ngazi!

Hatimaye Mubarak aachia ngazi!

Kitumbo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2010
Posts
549
Reaction score
185
Live kutoka aljazeera.

Mubarak atoweka kutoka Cairo lakini haijulikani alikoelekea...

Peoples... Power!!!!
 
Wakuu inaonyesha (tetesi) Mubaraka ameondoka Misri yeye na familia yake ila destination bado haijajulikana na wala haijulikani kama ndo kaachia madaraka au vipi?

Source; Aljazeera
 
Mubarak and his family has left Cairo. Source: Aljazeer live, France 24 news, ABC News, and msnbc news. Sasa ivi.
 
Wakuu inaonyesha (tetesi) Mubaraka ameondoka Misri yeye na familia yake ila destination bado haijajulikana na wala haijulikani kama ndo kaachia madaraka au vipi?

Source; Aljazeera

Maji yamemzidi kaamua kutimkia mafichoni, hata hotuba aliyoitoa jana haikutoka kwenye kasri yake. Hilo ni fundisho kwa JK na CCM yake
 
Ndio nitolee hiyo. Jana angewaambia anajiuzulu, wale wananchi wangewehuka na kumfuata huko huko IKULU. Kajiondokea kimya kimya!
One million dollar question: who might be the interim leader of this nation now?
 
Ndio nitolee hiyo. Jana angewaambia anajiuzulu, wale wananchi wangewehuka na kumfuata huko huko IKULU. Kajiondokea kimya kimya!
One million dollar question: who might be the interim leader of this nation now?

Omar Suleiman, the current Egyptian VP
 
BBC_avatar_normal.jpg

BBCBreaking BBC Breaking News

Persistent reports President Mubarak off to his Sharm El Sheikh palace. Far from Cairo, but still in #Egypt - via @FrankRGardner

Kama ameelekea Dubai basi inasemekana atakaa hapa:

heres-what-the-finished-hotel-will-look-like.jpg
 
Na bado hapa tz kuna kamtu katatokomea kusikojulikana.
 
Lesson to us waTZ. People's power never fail to achieve the target!

Afu jana kwanini TANESCO walikata umeme almost nchi nzima? Au ndo walitaka tusishuhudie what was happening in Egypt?
 
This should be good news to all revolutionary, democratic and peace loving people throughout the World; kumbe haya mambo yanawezekana watu wakiamua eeh?

I admire the Egyptian people for their relentless and determined efforts to uproot that despot; but above all, I admire the Egyptian army for refraining to get themselves involved in propping up the callapsing dictactorship!
 
Maji yamezidi shingo, wanacheza na nguvu ya umma!!! CCM Mpo? manatakiwa sana kujifunza kusoma alama za nyakati.
 
Familia yake ilishaenda Uingereza nafikiri.... That's the true meaning of people's power.....
 
CAIRO – A local government official says President Hosni Mubarak is in the Red Sea resort of Sharm el-Sheikh, 250 miles from the capital Cairo, where protesters are deluging squares and marching on presidential palaces and the State TV building.
The official, who asked not to be identified because of the sensitivity of the issue, said Friday that Mubarak arrived at the airport in Sharm and was greeted by the local governor. Mubarak passed most of his powers to Vice President http://news.yahoo.com/s/ap/20110211/ap_on_re_mi_ea/ml_egypt#Thursday night, rebuffing the demands of hundreds of thousands of demonstrators that he step down immediately.
Mubarak spends a good deal of time in Sharm, where he has a palace.


Yahoo news.
 
Back
Top Bottom