Wewe ndiye mfu, tena umeoza na fuza, unameza jambo bila kuhoji. Tunaojitambua tunahoji yanayotokea kwenye surroundings zetu kupata ukweli, tena ukweli wa science siyo revelations! Unajuaje kuwa kuna Mungu, can you prove using scientific means kuwa Mungu yupo? Wewe hujielewi. Tafuta maana ya IMANI.... dini ni imani!