Habari za hasubuhi wakuu! hatimaye Morogoro mjini tuna anza kuona matokeo ya dua na maombi ya viongozi wa dini, mvua imeanza kunyesha kuanzia saa 5:30 mpaka sasa hivi bado inaendelea sijajua ndugu zetu wa Mahenge na sehemu nyingine kama wamebahatika kupata hizi baraka, mda si mrefu Morogoro hatuta kuwa na kelele za njaa.