Hatimaye moja ya shtaka la Wakili Msomi Bashir Yakub limefanyiwa kazi na mtandao wa Vodacom!.

Ushindi mkubwa sana huu. Consumer protection groups and activism ni muhimu sana.

Mara nyingine hili ni muhimu kuliko siasa za vyama vya upinzani.

Bila ya grassroots organization kwenye hili, huko kwingine kwenye siasa na vigumu kujipanga.
 
Yani umeshidwa kuelewa maeleza rahisi namna hiyo sasa utaelewa nini.

Hahahahaa!

Fahamu kuwa kila mtu ana kiwango chake cha kuchanganua mambo na kuelewa pia. Hatuwezi kufanana. Kuna pia utofauti katika kuzingatia wakati wa kusoma. Kuna watu hawana uwezo mzuri wa ku concentrate wakati wa kusoma. Na kuna sababu nyingine pia zinaweza kuathiri uwezo wa mtu kuelewa kwa wakati flani. Mfano, unaweza kukuta mtu ana jambo limemsonga kichwani halafu anasoma hapa, inaweza kuwa ni kitu rahisi lakini asielewe pia.

Yote kwa yote, tambua walioweka mipaka kitaaluma na katika elimu walifanya tafiti na kugundua kuwa binadamu wanatofautiana sana katika uwezo wa kufikiri kutokana na sababu mbalimbali. Kwahiyo usishangae.
 
sasa hebu fafanua vizuri ni ipi njia sahihi kuitumia ili tuepukane na kuibiwa kupitia njia hii uliyoeleza?
hii matumizi bila bando inamaanisha nini na inasaidiaje ukiitumia?
 
Hili tuzidi kuwamini watoke hadharani watangaze hivyo na watoto kwenye uwo mfumo wa zamani tuanze upya,sio wote wanaoweza kaolewa hayo maelezo yao hasa wazee
 
Ushindi mkubwa sana huu. Consumer protection groups and activism ni muhimu sana.

Mara nyingine hili ni muhimu kuliko siasa za vyama vya upinzani.

Bila ya grassroots organization kwenye hili, huko kwingine kwenye siasa na vigumu kujipanga.
wako consumer right lakini utawasikia labda kama kuna maonyesho vinginevyo wamekaa tu bila kufanya chochote sasa hivi airtel wanatufungia huduma huwezi kupiga simu pamoja naa kwamba kila kitu kiko sawa customer care yao haipatikani ni shida tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…