Hatimaye mfanyabiasha Mo Dewji ameswali swala ya Ijumaa katika msikiti uliopo mtaa wa Indira Gandi jijini Dar es salaam ikiwa ni mara ya kwanza kuonekana hadharani tangu alipotelekezwa na watekaji katika viwanja vya Gymkhana Oktoba 20.View attachment 912010View attachment 912011
mzee mzima bado yuko traumatized mpaka ndevu kasahau kunyoa...
Mungu amfanyie wepesi
ni kweli ila hatuja mzoea hivyo mkuu ndio maana twaona jambo la ajabu.sunnah ya mtume jamani kufuga ndevu
Ha ha ha haSasa nmeamin billionea wetu alivaa boxer siku 8
Hajasahau kunyoa,mzee mzima bado yuko traumatized mpaka ndevu kasahau kunyoa...
Mungu amfanyie wepesi
Kabisa kaka kama vile kuna kitu hakipo sawa kwake, ni kama mtu aliemezwa na samaki kisha akaachiwaHuyu jamaa mbona kama hayupo sawa?
babaaakoSasa nmeamin billionea wetu alivaa boxer siku 8
sawaHajasahau kunyoa,
Familia yake wote hawanyoi ndevu nadhani nae ameamua kufuata suna hio.
Dah noma sanaSasa nmeamin billionea wetu alivaa boxer moja siku 8
Walikumbuka tu kumchajia simuWaiomteka walisahau kumpeleka saluni akafyeke midevu??
Au huko hakuna saloon.
Mkuu lile tukio ni baya sana.... bado mauzauza ya picha zima yanajirudia kichwani mwake....mzee mzima bado yuko traumatized mpaka ndevu kasahau kunyoa...
Mungu amfanyie wepesi
Ni kweli. Hasa ukizingatia hatujui exactly what happened..!Mkuu lile tukio ni baya sana.... bado mauzauza ya picha zima yanajirudia kichwani mwake....