Chief Sam
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 2,441
- 4,575
Bongo ukiwa na pesa unakuwa na maadui wengi Sana hasa sisi akina kapuku .Maana tuna hasira ya maisha ,Mo katutoa kwenye hatua moja kwenda nyingine .Mapungufu hayakosekani ,mkitaka mtu perfect hamuwezi mpata kamwe.Tuendelee kuvumiliana na kudai hayo Mapungufu katika namna nzur na sio kejeli.