Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,842
- 50,556
- Thread starter
- #21
MImi situmwi na mtu ndiyo maana sijajificha nyuma ya jina bandia!! Sijawahi kuwa mtumwa wa mtu kifikra. Kila tukiwauliza hiyo kazi manayojitanua nayo mabarabarani ni kazi gani, Hamsemi!Aliokutuma mwambie aje mwenyewe na mtanyooka tu HAPA KAZI TU.