Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,269
Mwaka huu CCM mnakufa tu, no choice
Bora ccm wanacho chama chao cha kupigania je wewe unayempigania mgombea binafsi aliyenunua chama na hajui hata misingi ya chama alichonunua!! unacho chama? eti ukawa! ndio kitu gani wakati cuf inazikwa bara na chadema ya kupambana na mafisadi haipo tena! una chama wewe!?
Ingawa yeye na wapambe wake hawajatamka rasmi. Lowassa ameanza kupunguza spidi hata fedha alizokuwa anawagawia maafisa wa UKAWA waliokuwa wanamzingira kwenye kila kampeni zimekatwa.
Watu wameanza kulumbana na hata baadhi ya mikutano imeahirishwa..
Bora ccm wanacho chama chao cha kupigania je wewe unayempigania mgombea binafsi aliyenunua chama na hajui hata misingi ya chama alichonunua!! unacho chama? eti ukawa! ndio kitu gani wakati cuf inazikwa bara na chadema ya kupambana na mafisadi haipo tena! una chama wewe!?
Ingawa yeye na wapambe wake hawajatamka rasmi. Lowassa ameanza kupunguza spidi hata fedha alizokuwa anawagawia maafisa wa UKAWA waliokuwa wanamzingira kwenye kila kampeni zimekatwa.
Watu wameanza kulumbana na hata baadhi ya mikutano imeahirishwa..
Kwa nn mnapenda kuzusha?Ingawa yeye na wapambe wake hawajatamka rasmi. Lowassa ameanza kupunguza spidi hata fedha alizokuwa anawagawia maafisa wa UKAWA waliokuwa wanamzingira kwenye kila kampeni zimekatwa.
Watu wameanza kulumbana na hata baadhi ya mikutano imeahirishwa..
Hawa wafuasi wa ukawa wengi hawajui wanayo yashabikia' leo lowassa akisimama mahali au mbowe na kuinadi ccm wote utawasikia ccm oyeee! Wapo kama mikondoo , ukiwa unaiswaga ukafunga kamba kimo cha wao kuweza kuruka wakiruka watano wa mwanzo hata ukichomoa hiyo kamba wengine wote wanaofuata nyuma wataruka hata kama kamba haipo! So watakua wanaruka bila sababu ya kuruka na wangekua na uwezo wakuongea ukiwauliza waliofuata baada ya wale watano wa mwanzo " mbona mnaruka wakati hamna kizuizi cha kuruka " watakujibu " tunaruka kwakuwa wenzetu nao waliruka ", kumbe wenzao waliruka kamba wao wanaruka hamna
Kura mmeenda kupigia kwenye site yenu mlipo fichia ilani! Mbwa anatishiwa kwao!? Yani blog ya chadema ukapige kura za magufuli! Maneno ya mkapa nazidi kuyazingatia
Mwenzetu wewe ni mhasibu wake au vipi???Ingawa yeye na wapambe wake hawajatamka rasmi. Lowassa ameanza kupunguza spidi hata fedha alizokuwa anawagawia maafisa wa UKAWA waliokuwa wanamzingira kwenye kila kampeni zimekatwa.
Watu wameanza kulumbana na hata baadhi ya mikutano imeahirishwa..