FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,416
- 7,828
Ni nini mantiki ya hoja yako?Tangu lini mabeberu weusi ama wayahudi weusi mkamsapoti Muislamu/Muarabu, na isitoshe ndani ya bara letu! never never never na haitatokea kwenu kuwa upande wao mpaka mtakapozinduka. Nyie viumbe msio na imani wala huruma mnachoangalia ni dini/rangi ya mtu ndio kigezo chenu,, mfano mdogo tu kwa huyo RAISI "GADAFI" Lau mauwaji hayo yangefanyika kwa Raisi asie muislamu/mwarabu iwe kwa south afrika, Kenya, uganda ama marekani yani ingewagusa sana sana nyie watu. ila wapo wachache tu wenye kujitambua,wenye imani na huruma zao.