Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,538
- 34,854
Una uhakika na hili?Malkia wa Uengereza ndie anaetia saini kuwa apeleke jeshi nchi yyte, bila ya saini yake uk wasingeshiriki vita Iraq na Libya au Syria
Je na huko Canada ambako ni himaya ya malkia wa Uingereza, huko pia huwa anatia saini kama wanataka kupeleka jeshi lao nchi nyingine?