Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,204
- 13,182
Ndio demokrasia waliokuwa wanaitaka, eti Uhuru Wa kuongea.. Haya sasa hayupo Gaddafi ongeeni sasa na huo Uhuru mnaoutaka.
Waafrica bado hawajui nini wanakitaka, bado na huku Tanzania kuna jitu linazunguka huko ulaya kwa kisingizio za kuitafuta haki ndani ya Tanzania eti Tanzania kuna udikteta na wajinga wachache wanaliunga mkono pasipokujua kuwa anafanya hayo kwa maslahi yake.
Waafrica bado hawajui nini wanakitaka, bado na huku Tanzania kuna jitu linazunguka huko ulaya kwa kisingizio za kuitafuta haki ndani ya Tanzania eti Tanzania kuna udikteta na wajinga wachache wanaliunga mkono pasipokujua kuwa anafanya hayo kwa maslahi yake.