NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Hatimaye yule kigogo wa shirika kubwa la Bima hapa nchini Mama Margreth Ikongo ameachia ngazi na kuhamishiwa wizara ya fedha kitengo cha masuala ya Bima.
Kama mnakumbuka gazeti la Mwanahalisi la wiki hii lilitoa taarifa hii likisema ni taratibu zinaendelea kufanyika na kigogo huyo kutupwa nje ikiwa inasemekana ndiye aliyelisababishia Shirika hilo kubwa hapa nchini kuwa katika hali mbaya kifedha na matumizi mabaya na kutolipwa kwa wateja madai yao ya muda mrefu.
My take yule jamaa wa Any time Cancelation ankaribia kuhamishiwa huko??
Tunatega sikio nzi wetu akirukaruka
Kama mnakumbuka gazeti la Mwanahalisi la wiki hii lilitoa taarifa hii likisema ni taratibu zinaendelea kufanyika na kigogo huyo kutupwa nje ikiwa inasemekana ndiye aliyelisababishia Shirika hilo kubwa hapa nchini kuwa katika hali mbaya kifedha na matumizi mabaya na kutolipwa kwa wateja madai yao ya muda mrefu.
My take yule jamaa wa Any time Cancelation ankaribia kuhamishiwa huko??
Tunatega sikio nzi wetu akirukaruka