Hatimaye jimbo la Ubungo lapata viongozi wapya

Hatimaye jimbo la Ubungo lapata viongozi wapya

mmeweka vyeo makamanda ambavyo havipo kikatiba pliz u nid to make cherk up on that" who is mhamasishaji" in the katiba

Soma Mwongozo wa Baraza la Vijana ndio uje ukosoe hapa. Huo ni wadhfa na upo kwenye Mwongozo husika.
 
Povu la nini Mkuu? Kwani matokeo si hayomyanaonekana? Yafuta uwiano wa waislam na wakristo halafu uje hapa kutuambia kama tunaleta propaganda ama la

Hivi kwani ukikuwa uchaguzi wa dini? Maana mm sikuelewi umengangania udini tuu kana kwamba alikuwa anatafutwa mchungaji au imam. Ukiona kila kitu unakiangalia kwa jicho la udini jitazame vizuri. Ungeleta hiloja hapa kuwa kuna muislam alinyimwa fursa ningekuelewa lakin huo upuuzi unaoongea hapo watu timamu wanakutazama tu.
 
Povu la nini Mkuu? Kwani matokeo si hayomyanaonekana? Yafuta uwiano wa waislam na wakristo halafu uje hapa kutuambia kama tunaleta propaganda ama la

akili zako ni za kijinga sana, aliyekwambia chadema inafanya uwiano wa waislam na wakristo ni nani?

Kesho utauliza uwiano wa wasukuma na wachaga.

Keshokutwa utauliza uwiano wa wanawake na wanaume.

Ujinga pelelekeni huko. Sifa za kuchaguliwa kuwa kiongozi chadema haziangalii dini na ndio maana kuna majina hapo huwezi kuniambia ni dini gani.

WAKRISTO na WAISLAM WAMECHAGULIWA KWA UWEZO WAO NA WAPO WAKRISTO NA WAISLAM HAWAJACHAGULIWA PIA.
 
Povu la nini Mkuu? Kwani matokeo si hayomyanaonekana? Yafuta uwiano wa waislam na wakristo halafu uje hapa kutuambia kama tunaleta propaganda ama la

Ndani ya CCM leo hebu onyesga uwiano wa Dini tuone .Maana ukabila umekosa umekuja na udini .You are really an aaashole.Onyesha CCM ya sasa uwiano tuone .
 
Back
Top Bottom