Buldoza
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 2,307
- 987
Naona Waislam ni wawili tu tena ni wanawake
Duh! Kweli wewe ni mdini! Hivi jina la mtu linauhusiano upi na dini yake? Weston ni jina la dini gani? Usishupae, Duwaa.
Naona Waislam ni wawili tu tena ni wanawake
Povu la nini Mkuu? Kwani matokeo si hayomyanaonekana? Yafuta uwiano wa waislam na wakristo halafu uje hapa kutuambia kama tunaleta propaganda ama la
mhamasishaji na mwenezi, ni kitu kiomoja tofauti ni majina tu.mmeweka vyeo makamanda ambavyo havipo kikatiba pliz u nid to make cherk up on that" who is mhamasishaji" in the katiba
kwani waligombea namba ya uislam na mkristo au auongozi wa kanisa au msikiti? au ndio maumivu yamekupata? utasoma namba mwaka huu.Naona Waislam ni wawili tu tena ni wanawake
Kwa hii timu,maccm yanafutika ubungo sasa
maana wote ni makamanda haswa
hizi mashine lazima waombe pooo mapema.
labda wewe na wivu wako wa kike ndio hamtaki lakini kama manzese ameshafika vya kutosha na kugawa madawati 120 kwa shule ya ukombozi. kilimani na manzese. na juzi alikua kwy kikao cha wazazi wa watoto walemavu manzese ukombozi sijui hata kama unapajua!Kiukweli kimara na mbezi mtashinda na ndiyo maana hata mikutano anaifanyia huko huku kwetu manzese haji kabisaaaaa na hatumtaki akija tutampiga mayai viza na kama anabisha aje huyo mpolipoli mtu wa mnyikani. Tulichomtuma atuwakilishe sio atuleteee migomo
Hawatakiwi Mkuu. Si unaona kinachoendelea kule DMV? Mwenyekiti wao anapigwa na akina Liberatus simply kwa vile ni muislam
Waislam hawana Akili au hawajagombea au awatakiwi CDM.
Naona Waislam ni wawili tu tena ni wanawake
Kwa hiyo mnajipangia safu yenu ya uongozi kadri mpendavyo
Povu la nini Mkuu? Kwani matokeo si hayomyanaonekana? Yafuta uwiano wa waislam na wakristo halafu uje hapa kutuambia kama tunaleta propaganda ama la
ajee mara ngapi kama kuja kisha kuja na ataendelea kuja kadili ratiba itakavyopangwa. mara manzese ya kwenu huko kisavulacholi huko lkn sio ya dar.Lua nasema hivi mwambie aje utaona kama ni wivu wa kike au wa kinini wewe wivu wako wa kimbwa tutaona hapo alafu wewe huijui manzese kama ninavyoijua. Mimi wewe wa kutelemka na Ngorika au Dar express mimi sikuja na ndugu
Mkuu hivi kuna tofauti katika ya Mtunza hazina na Mhazina! kama hamna basi pia hakuna tofauti kati ya katibu Mwenezi na Mhamasishaji! ni sanaa ya Lugha tu Mkuummeweka vyeo makamanda ambavyo havipo kikatiba pliz u nid to make cherk up on that" who is mhamasishaji" in the katiba
Unapomuuliza Weston Songoro usimfiche... Mwambie udini na ukabila ni wimbo wa zitto aliowalisha wafuasi wake kujenga ubaguzi.. Je ametumwa na Zitto?Ndio mwenyekiti wako wa act mzee wa ujiji amekutuma kuja kusema hvyo.
maada ni nini? naona unaleta utumbo wako tu hapa.Lua sasa wewe na mimi nani kaja bongo