Hatimaye jimbo la Ubungo lapata viongozi wapya

Hatimaye jimbo la Ubungo lapata viongozi wapya

Lua

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
704
Reaction score
305
siku ya jana takribani muda wa saa 4:30 usiku uchaguzi wa kuchagua viongozi wa chama ngazi ya jimbo ulikamilika na viongozi waliochaguliwa ni wafuatao:

viongozi wa jimbo:
m/kiti- Bonface Jacob (diwani wa ubungo)
katibu -Justine Gudluck
k/mwenezi -Aisha Yusuph
m/hazina -A.mwamanyaki

baraza la vijana (bavicha)-jimbo:
m/kiti-Shija Masanja
katibu-joseph samky
mhamasishaji-henry mosha

baraza la wanawake (bawacha):
m/kiti-Anna Linjewile
katibu - bi tekla
mhamasishaji-Bi Restuta

baraza la wazee:
m/kiti Rodrick Rutembeka
katibu - bi Amina Litaka

hawa ndio viongozi watakua viongozi wetu kwa kipindi cha miaka mitano. nawatakia mapambano mema katika uchaguzi wa serikali ya mtaa mwaka 2014 na uchaguzi mkuu mwaka 2015. people'ssssss
 
Safi sana makamanda, kila rhakeli

Tunawaminia tunawategemea hongereni wote.
 
Naona Waislam ni wawili tu tena ni wanawake

Waislam hawana Akili au hawajagombea au awatakiwi CDM.

Huu upumbavu wenu mlioaminishwa na sasa mnapambana kuusambaza una madhara makubwa kwenu na kizazi chebu.

Kwa sasa huenda kuna faida mnapata kwa propaganda hizi,lkn ipo siku mtakuja kujuta. Ninyi hamba tofauti na Gazeti la Kangura la Rwanda; waandishi na wamiliki wake walipata faida nyingi kwa propaganda za kibaguzi, siku Rwanda ilipozaliwa upya walitawanyika dunia nzima, walipotafuta pa kujificha dunia waliiona ndogo, wengine wakaamua kujisalimisha ili angalau wapate hifadhi gerezani.
 
Huu upumbavu wenu mlioaminishwa na sasa mnapambana kuusambaza una madhara makubwa kwenu na kizazi chebu.

Kwa sasa huenda kuna faida mnapata kwa propaganda hizi,lkn ipo siku mtakuja kujuta. Ninyi hamba tofauti na Gazeti la Kangura la Rwanda; waandishi na wamiliki wake walipata faida nyingi kwa propaganda za kibaguzi, siku Rwanda ilipozaliwa upya walitawanyika dunia nzima, walipotafuta pa kujificha dunia waliiona ndogo, wengine wakaamua kujisalimisha ili angalau wapate hifadhi gerezani.
Povu la nini Mkuu? Kwani matokeo si hayomyanaonekana? Yafuta uwiano wa waislam na wakristo halafu uje hapa kutuambia kama tunaleta propaganda ama la
 
Waislam hawana Akili au hawajagombea au awatakiwi CDM.

Wewe umejuaje dini za hao waliochaguliwa, mbona unakuwa na akili finyu sana ya kufikiria? Kwa akili zako ndogo utakuwa umeangalia majina tu, shame on you.
 
siku ya jana takribani muda wa saa 4:30 usiku uchaguzi wa kuchagua viongozi wa chama ngazi ya jimbo ulikamilika na viongozi waliochaguliwa ni wafuatao:

Viongozi wa jimbo:
M/kiti- bonface jacob (diwani wa ubungo)
katibu -justine gudluck
k/mwenezi -aisha yusuph
m/hazina -a.mwamanyaki

baraza la vijana (bavicha)-jimbo:
M/kiti-shija masanja
katibu-joseph samky
mhamasishaji-henry mosha

baraza la wanawake (bawacha):
M/kiti-anna linjewile
katibu - bi tekla
mhamasishaji-bi restuta

baraza la wazee:
M/kiti rodrick rutembeka
katibu - bi amina litaka

hawa ndio viongozi watakua viongozi wetu kwa kipindi cha miaka mitano. Nawatakia mapambano mema katika uchaguzi wa serikali ya mtaa mwaka 2014 na uchaguzi mkuu mwaka 2015. People'ssssss
mmeweka vyeo makamanda ambavyo havipo kikatiba pliz u nid to make cherk up on that" who is mhamasishaji" in the katiba
 
Back
Top Bottom