siku ya jana takribani muda wa saa 4:30 usiku uchaguzi wa kuchagua viongozi wa chama ngazi ya jimbo ulikamilika na viongozi waliochaguliwa ni wafuatao:
viongozi wa jimbo:
m/kiti- Bonface Jacob (diwani wa ubungo)
katibu -Justine Gudluck
k/mwenezi -Aisha Yusuph
m/hazina -A.mwamanyaki
baraza la vijana (bavicha)-jimbo:
m/kiti-Shija Masanja
katibu-joseph samky
mhamasishaji-henry mosha
baraza la wanawake (bawacha):
m/kiti-Anna Linjewile
katibu - bi tekla
mhamasishaji-Bi Restuta
baraza la wazee:
m/kiti Rodrick Rutembeka
katibu - bi Amina Litaka
hawa ndio viongozi watakua viongozi wetu kwa kipindi cha miaka mitano. nawatakia mapambano mema katika uchaguzi wa serikali ya mtaa mwaka 2014 na uchaguzi mkuu mwaka 2015. people'ssssss
viongozi wa jimbo:
m/kiti- Bonface Jacob (diwani wa ubungo)
katibu -Justine Gudluck
k/mwenezi -Aisha Yusuph
m/hazina -A.mwamanyaki
baraza la vijana (bavicha)-jimbo:
m/kiti-Shija Masanja
katibu-joseph samky
mhamasishaji-henry mosha
baraza la wanawake (bawacha):
m/kiti-Anna Linjewile
katibu - bi tekla
mhamasishaji-Bi Restuta
baraza la wazee:
m/kiti Rodrick Rutembeka
katibu - bi Amina Litaka
hawa ndio viongozi watakua viongozi wetu kwa kipindi cha miaka mitano. nawatakia mapambano mema katika uchaguzi wa serikali ya mtaa mwaka 2014 na uchaguzi mkuu mwaka 2015. people'ssssss