nimie
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 525
- 104
Picha inaniudhi hii, uzuri hawa sio wawakilishi wa wanaume. Sijui hawajaoa! yaani mi siwaelewi kabisa.
Ni kweli Mkuu maana ni kosa la watendaji wakuu wa Wizara, yeye alitekeleza tu, kumbe yeye anaweza kuwa mshtakiwa namba tatu katika kesi kama itakuwepo ingawa sifikirii sana kuwepo kwa kitu hicho zaidi ya kupangiwa kazi nyingine.kWA TANZANIA TUNAYOIFAHAMU, ATAENDELEA KUPETA TU
Hiyo picha ingegeuzwa ili tuone sura za hao wanafki.
Jamani rais kesha chagua katibu atakaye kalia kiti cha JAIRO.Nadhani sasa ni rahisi kumpeleka MAHAKAMANI kama wataweza.
[/QUOTE]loh wazee wazma na tai zao hata aibu hawana
inasikitisha mijitu mizima labda ndio wale waliohusika ktk kupnaga zile posho
nchii hiii bwana hakuna atakaewajibishwa jairo ana siri binafsi ambazo jairo akizianika hakutakalika kuhusu IPTL [QUOTEuk=EMT;3071101]
Nchi hii watu wanajua kuwa-distract watu saana!sasa pamoja na ishu ya migomo,na posho za wabunge!
Hatujasahau hili na tunataka majibu complete!kesho! Mana Pinda tunamjua zake ooh,mara "....Linazungumkika,mara ....tutashauriana jinsi ya kulimaliza"
Enough is enough, actions please!