Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,601
- 52,301
Hata hivyo wapo wengi waliofariki kati ya wale washiriki,Duh kweli dunia imefika mwisho, hadi Isidingo imeisha, very sad.
Imetukuza tangu tukiwa wadogo, enzi za kina Mbuso T, Derick Nyati, Mathabane family, Papa G, Nandipa, Leti etc