Hatimaye Isindigo imeisha rasmi ITV ilikuwa the best soap opera

Kati ya maeneo yote ya hii tamthiliya hakuna sehemu iliyo nikera kama ya Nikiwe (Pisi Kali) na Mtoto wa Tajiri Lincoln kushawishiwa na kumegwa kisela na yule mpuuzi Pastor Gabriel!!

Pia George Zamdela naye alikuwa ni Mafia sana. Ilihitaji utulivu sana kuielewa Isidingo The Need! Kinyume na hapo, unaona kama watu wanapiga piga tu stori.
 
Kati ya maeneo yote ya hii tamthiliya hakuna sehemu iliyo nikera kama ya Nikiwe (Pisi Kali) na Mtoto wa Tajiri Lincoln kushawishiwa na kumegwa kisela na yule mpuuzi Pastor Gabriel!!

Pia George Zamdela naye alikuwa ni Mafia sana. Ilihitaji utulivu sana kuielewa Isidingo The Need! Kinyume na hapo, unaona kama watu wanapiga piga tu stori.
Gabriel alikuwa fundi kwanza alikuja Hotizon deep kama pastor hadi pisi kali zote akiwemo lareto wakawa wana attend mass kwasababu ya pastor.
 
Umenikumbusha utotoni nimerudi tena YOU TUBE kuiangalia. Ndiye yule mwanamke niliyemkusudia, tamthilia ya kijapani. Nimeikumbuka na Journey to the west.

Sijui ni Capital TV au ni nini ile? Kila jumapili ilikuwa inaonyesha movie za kihindi 2003 au na 2004. Kuna series ya kihindi inaitwa Ganga Maiya kila siku ya Jumapili.

Kuna Days of Our Lives
Kuna The Bold and the Beautiful.
Kuna tamthilia waliionyesha ITV inaitwa Acapulco bay!

Kipindi hicho naangalia katuni vibaya! Cha kusikitisha mpaka sasa sijaacha kuangalia katuni.
Tena hizi katuni za 3d ndo zinanoga balaa.Ukikiyana na kitu cha ninja tortoise acha tu
 
Hatimaye imeisha....binafsi EGOLI ndio ilinibamba mpaka nikawa mtumwa wake...Days of our Lives nayo haikunisamehe...mpaka siku nikasema...Enough...imetosha..utumwa wa series siutaki tena...nikaachana nao kweli since then...
 
Leo hatimaye Isindigo the need imeisha rasmi ITV japokuwa South iliisha muda baada ya kuonyeshwa kwa miaka 21 mfululizo.
Wengine tumekua nayo toka watoto mpaka now watu wazima tuna watoto pia.
Ni tamthlia ambayo kwangu ilikuwa bora kabisa kuliko tamthilia yoyote niliyowahi kutazama.
Nilitamani iendelee ila ilikuwa haiwalipi tena maana ilikuwa imepoteza watazamaji kwa kiasi kikubwa hivyo SABC hawakuwa na namna zaidi ya kuimaliza.
Aisee
 
Leo hatimaye Isindigo the need imeisha rasmi ITV japokuwa South iliisha muda baada ya kuonyeshwa kwa miaka 21 mfululizo.
Wengine tumekua nayo toka watoto mpaka now watu wazima tuna watoto pia.
Ni tamthlia ambayo kwangu ilikuwa bora kabisa kuliko tamthilia yoyote niliyowahi kutazama.
Nilitamani iendelee ila ilikuwa haiwalipi tena maana ilikuwa imepoteza watazamaji kwa kiasi kikubwa hivyo SABC hawakuwa na namna zaidi ya kuimaliza.
Kwa kweli kama mdau wa isidingo long time nimeumia sana wametuacha kwenye kitendawili kikubwa sana kwamba alikufa ama lah ,aliempiga yule ni mdada gani?
Hata hivyo nawapongeza ITV sanaa wamesema Jana wataleta soupy nyingine ya UZALO ITV wako juu sanaaa

Isidingo tutakukumbuka sana waigizaji wenu wenye chura za kushuka
 
Kati ya maeneo yote ya hii tamthiliya hakuna sehemu iliyo nikera kama ya Nikiwe (Pisi Kali) na Mtoto wa Tajiri Lincoln kushawishiwa na kumegwa kisela na yule mpuuzi Pastor Gabriel!!

Pia George Zamdela naye alikuwa ni Mafia sana. Ilihitaji utulivu sana kuielewa Isidingo The Need! Kinyume na hapo, unaona kama watu wanapiga piga tu stori.
Mkuu Gabriel mothusi pastor ndo mmoja ya waigizaji mafundi zaidi na waliotumia akili kubwa kwenye misheni zao namkubali sana ila ilibidi mkataba wake uishe tu .nikiwe alizimika mwenyewe Gabriel akatumia fursa ..
Hebu fikiria from zamazama to pastor mpka kuwa mayor ..akili tu
 
Mtu aliyekuwa haangalii isidingo huyo hana akili ,kiufupi uwezo wake ni mdogo kuelewa anafaa akatazame kwa wahindi huko.
Lincoln anatufundisha kwamba ukiuawa kwa upanga utakufa kwa upanga ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom