maandamano
JF-Expert Member
- Nov 12, 2025
- 654
- 1,398
Sijui Muisilamu mwenzangu uko inchi gani tuungani kufunga kwa matendo mema maana hii ni neehema hatujui kama mwaka kesho tutapata fursa ya kufunga kiafya na kiuzima
kwani mwezi ulikua haujaandama gentleman?Sijui Muisilamu mwenzangu uko inchi gani tuungani kufunga kwa matendo mema maana hii ni neehema hatujui kama mwaka kesho tutapata fursa ya kufunga kiafya na kiuzima

Naona umeshtuka kwa furaha hata ukaacha kazi uliyokuwa unafanya.Kwani umeonekanaa??
Ndiyo na tumeshaswali taraweyi lakini siko TanzaniaKwani umeonekanaa??
Oooh sawaaNdiyo na tumeshaswali taraweyi lakini siko Tanzania
Mfungo unaanza rasmi. Sasa ole wako ulete ulaku wako.Wabamizwa cc Poor Brain secretarybird
Wasuni au Shia?Watanzania wanasubiri mwezi wa BAKWATA
Kama tulivyo waTanzania wote, mfungo wenu usiishie kwenu pekee; likumbukeni taifa letu na waTanzania wote kwa umoja wetu ambao umeingia majaribuni sana nyakati hizi.Sijui Muisilamu mwenzangu uko inchi gani tuungani kufunga kwa matendo mema maana hii ni neehema hatujui kama mwaka kesho tutapata fursa ya kufunga kiafya na kiuzima
😂😂Mfungo unaanza rasmi. Sasa ole wako ulete ulaku wako.
Uko nchi gani ustaadh?Sijui Muisilamu mwenzangu uko inchi gani tuungani kufunga kwa matendo mema maana hii ni neehema hatujui kama mwaka kesho tutapata fursa ya kufunga kiafya na kiuzima
ee, BAKWATA ndio wenye mamlaka ya kutangaza mwandamo wa mweziWatanzania wanasubiri mwezi wa BAKWATA