kwa serikali kukopa za ndani ni kuondoa hata zile chache zilizopo mitaani kwakuwa baada ya kukopa serikali inapeleka bank kuu kama ifanyavyo kwenye makusanyo ya mapayo.maana yake hela zitapungua zaid ya sasa kwakuwa serikali saiz inaweka fedha zake bank kuu.na sio bank binafsi ambazo wafanyabiashara na watu wengine wanachukua mikopo na hela kurud kwenye mzunfuko.