Hatimaye Dotto James aonekana hadharani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,436
Reaction score
283,719
Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha, Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu.

Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania.

Huyu hapa

 
"........tangu kufariki kwa mjomba wake........." duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…