yuele mkurugenzi wa wilaya ya hai bwana mtega sasa yamemfika baada ya kutemwa rasmi wiki hii kwa maelekzo ya makamba na celina kombani!
amehamishiwa makao makuu tamisemi bila shaka kumkomoa. mnamo wiki mbili zilizopita mbowe alizindua kampeni zake kwenye mji wa bomangome. shughulizote zikasimama akapokelewa kama mfalme.
kesho yake labda kwa kiwewe cha kushindwa, mkuu wa mkoa anayekaimu said kalembo alifunga safari toka tanga kuja moshi, wakafanya kikao yeye , mbunge fuya kimbita, mkuu wa wilaya ya hai somebody msigala, nk, ikaamuliwa ded atoe 100m toka kwennye halmashauri eti kusawazisha mambo
ded alipopewa maagizo hayo alitaka aelekezew mahali pa kutoa hilo fungu, na kwa maandishi. ndipo alipoonekana hafai.
nafasi yake imechukuliwa na afisa mipango wa wilaya ya same mr. humbe ambaye anakuja hai kuhakikisha mbowe anashindwa
kuwemi machp
amehamishiwa makao makuu tamisemi bila shaka kumkomoa. mnamo wiki mbili zilizopita mbowe alizindua kampeni zake kwenye mji wa bomangome. shughulizote zikasimama akapokelewa kama mfalme.
kesho yake labda kwa kiwewe cha kushindwa, mkuu wa mkoa anayekaimu said kalembo alifunga safari toka tanga kuja moshi, wakafanya kikao yeye , mbunge fuya kimbita, mkuu wa wilaya ya hai somebody msigala, nk, ikaamuliwa ded atoe 100m toka kwennye halmashauri eti kusawazisha mambo
ded alipopewa maagizo hayo alitaka aelekezew mahali pa kutoa hilo fungu, na kwa maandishi. ndipo alipoonekana hafai.
nafasi yake imechukuliwa na afisa mipango wa wilaya ya same mr. humbe ambaye anakuja hai kuhakikisha mbowe anashindwa
kuwemi machp