ni kweli ni uzinduzi wa kanda ya kusini kwani ilishindikana kufanyika mtwara na lindi kutokana na hali halisi ,hivyo atakuwepo mwenyekiti taifa
mbowe na wabunge na makamanda kadhaa hiyo kesho, leo dr.slaa yuko mererani , lema monduli,kesho marando, safari na wengine wapo bagamoyo , ali bananga leo yuko kwa mwigulu, mawazo yuko geita, yaani ni twanga kotekote.
Mchana huu gari la matangazo limekuwa likipita na kutangaza mkutano wa chadema hapo kesho.Kwa mujibu wa matangazo hayo ni kuwa wanakuja viongozi wa kitaifa.Sasa sijui kama wataenda huko vijijini nilikopendekeza kwenye bandiko langu hapa JF au la.Kesho nitakuwa eneo la tukio ambalo ni Matarawe japo nipo njiani kuelekea kijijini.Nikimaliza shughuli zangu huku basi nitawahi haraka mjini.
Nawasilisha
Niko Songea Mjini Eneo la Lizaboni Gari limepita muda sio mrefu. Kata ya Lizaboni inaongozwa na Kamanda wa CDM Mh. Allanus Mwanja Murongo. Kazi inaenda vema Magamba tumbo Joto.
asante kwa taarifa mkuu nakumbuka kijiwe cha mzee macha hapo lizaboni.ugendili gendili cdm kiboko