Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 876
Mchana huu gari la matangazo limekuwa likipita na kutangaza mkutano wa chadema hapo kesho.Kwa mujibu wa matangazo hayo ni kuwa wanakuja viongozi wa kitaifa.Sasa sijui kama wataenda huko vijijini nilikopendekeza kwenye bandiko langu hapa JF au la.Kesho nitakuwa eneo la tukio ambalo ni Matarawe japo nipo njiani kuelekea kijijini.Nikimaliza shughuli zangu huku basi nitawahi haraka mjini.
Nawasilisha
Nawasilisha