Hatimaye Babaj Yawa Zimamoto

Afu wameivalia hiyo bajaji suti, tai na nguo nyingine rasmi. Ha ha ha ha ha!
 
heheee kweli viongozi wetu ni unique.
kila siku wanakuja na comedy mpya,kile cha kubebea waja wazito sikuamini macho yangu leo bajaji imekua yakuzimia moto.
 
Huwa sipendi kutumia kauli nzito lakini kwa hili inabidi nitumie.... "SIJAWAHI KUONA VIONGOZI WA NCHI WAPUMBAVU KAMA WALIVYO VIONGOZI WA TANZANIA" yaani wako tayari wenyewe watembelee magari ya milioni 200 na kununua tujigari twa milioni 2 kweli kwa huduma muhimu kama zimamoto na kupeleka wagonjwa hospitali????:bored: Wanakera sana sana hivi hiki kijipikipiki kinaweza kweli kuzima hata kibanda cha kuku kweli!!!
 
Ngoja tusubiri bajaji ijayo itakuwa maalum kwa ajili ya nini?? mi nahisi watabuni bajaji mfano wa trekta...

Bajaj ijayo itatengenezwa kwa ajili ya kuisaidia Taifa Stars ishinde. Itavalishwa jezi ya Taifa stars na kuingizwa uwanjani. CCM oyee
 
Wahindi wameshasoma mawazo ya viongozi wetu kuwa ni finyu, ndo maana wanatengeneza vitu vya ajabu...... NI JUKUMU LETU KUKATAA HIVI VITU. VIONGOZI WETU JAMANI MUWE MACHO NA WAHINDI HAO, NI WAJANJA SANA KWENYE BIASHARA, NA WANAUSHAWISHI MKUBWA SANA KWENYE BIASHARA...... PINDA, NA VIONGOZI WENGINE IKIWEMO MKUU (JK) BE SERIOUS, NA MUWE MAKINI.............
 

The pinnacle of mediocrity. Shame !
 

hapo utakuta kinauzwa dola elfu kumi
 
Sasa hao wazimaji wanakaa wapi na ngazi vifaa navyo wapi ? hii haizidi mil. 6.
 
hivi kwanini tusifikirie namna ya kuendeleza teknolojia ya usafiri wa ungo kutoka usafiri wa wachawi na kuufanya usafiri wa umma?
Je research ya uchawi iliyofanywa na Prof wa mlimani ina msaada gani kwa taifa letu?
 
Kinachofuata kuhalalisha dawa ya BABU kama dawa rasmi ya kutibu magonjwa sugu na watagawa kwenye ma hospitali.
 
Linganisha bei ya bajaji na zilizotafunwa EPA, DOWANS, RICHMOND, MEREMETA, TWIN TOWERS, BAE n.k
 

wahindi hao na biashara zao za kifisadi. uliza bei hapo; utacheka ufe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…