Hatimaye amepanda, Magufuli amvulia kofia Diamond Platnumz

crankshaft

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,410
3,376
Rais Magufuli aliamua kumvulia na kumvisha kofia yake Diamond Platnumz simbaaa baada ya performance yake katika uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza.

Ila kijana wetu anaadabuu, mara baada ya kuitwa jukwaa kuu alienda anakimbia 🤣🤣🤣
Diamond platnumz simbaaa baba lao rais halali wa muziki Tanzania.

kofia.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom