Vyovyo utakavyo spin motive ya mauaji haya ni siasa kwa kuwa mwenyekiti wa ccm ni mmoja kati ya wahusika. Kumtumia mtu wa karibu anayejua mienendo ya 'target' ni mbinu ambayo mara nyingi hutumiwa katika hujuma.
Kuna tofauti gani kwa CCM kumtumia Shibuda ambaye ubunge wake umedhaminiwa na CDM katika kuihujumu CDM na kumtumia mpangaji katika kumhujumu mwenye nyumba?. Zote ni siasa kwa kuwa malengo ni ya kisiasa.
Jana Mitaa ya Leganga ilijaa watu wenye mchanganyiko wa hasira na furaha mida ya Jioni baada ya mtuhumiwa wa mauaji kuletwa Leganga.
Wananchi waliomba wapewe japo dakika mbili nae wapoze hasira zao, ilikuwa ni purukushani sana kiasi ilikasoro kidogo sana gari alimowekwa kupinduliwa na wananchi.
Aliletwa ili nyumba yake ikaguliwe. Alikutwa na Silaha tofauti tofauti ikiwamo Bunduki, Panga na mavazi ya kuvaa kuficha uso.
Story Iko Hivi:
Jamaa baada ya tukio la mauaji walikimbia mmoja akakamatiwa Dodoma. Na inasemekana ana history ya kuua. Na vifaa vilivokutwa kwake vimewahi kutumika kwenye uharibifu mwingine.
Inadaiwa gharama ya kufanya tukio hilo ilikuwa ni 2M (Million mbili za kitanzania).
Swala hili linafanyika kisiri sana na watuhumiwa wengine wako ndani kimya kimya.
Dah....watu wana roho ngumu sana. Yaani mpaka kuchinjana kwa sababu ya siasa tu!
Umeisoma vizuri hiyo taarifa wewe? Kwa kukusaidia tu ni kuwa huyo mpangaji "aliajiriwa" na mwenyekiti wa kijiji kufanya hayo mauaji kwa ujira wa sh. 2,000,000/-.
Hivi huyu mtu ana dini kweli? Well, wengine kumwaga damu kwao ni abada.
Jamani huu ndio mpango wa CCM kwa sasa! Wanakodi wahuni kuwapiga wanaowapinga kwa hoja ili kuzuia wimbi la mabadiliko, Makamanda muwe macho saana. Nasema hivi kwa sababu ninawajua vizuri.
Dah! Yaani hadi mwili umesisimka. Kuna watu makatili sana, yaani mashine ya kukatia miti inatumika kukatia binadamu!?
Ahojiwe vizuri huyo jamaa, zana zote hizo tena za kutisha huwa anafanyia nini. Huenda ameshatoa roho za watu wengi sana.
Ningependa kujua mtoaji mil 2 ni nani na sielewi kuondoa uhai wa mtu kungesaidiaje kisiasa na na hasa mtu 1 ?
Na hajalipwa hela yake yote Bado sasa kalipwa Million Moja tu
MTUHUMIWA HUYO ALMAARUFU KWA JINA LA (CHEWAJA)ALIKUWA NI MPANGAJI KATIKA NYUMBA YA MAREHEMUNI (waliishiwote myumba moja) NI MZALIWA WA SINGIDA,MKAZI WA ARUMERU MASHARIKI,AMEKAMATWA DODOMA AKIWA KWA MGANGA WA KIENYEJI,AWATAJA ALIOSHIRIKIANA NAO KATIKA MAUAJI HAYO MMOJA WAPO NI KADA WA CCM NA PIA NI MWANYEKITI WA KIJIJI,VILIO VILITAWALA BAADA YA MTUHUMIWA HUYO KURUDISHWA KIJIJINI CHINI YA ULINZI MKALI WA JESHI LA POLISI KUONYESHA OLIKOFICHA VIFAA VYA MAUAJI WANANCHI WAPANDWA NA HASIRA WATAKA KUMUUA ASKARI WAZUIA,SILAHA ZAKUTWA SHAMBANI KWA MWENYEKITI ZIKIWA ZIMEFUKIWA CHINI AMBAPO BAADA YA KUFUKUA WALIKUTA BUNDUKI MBILI,KISU PANGA,NA MASHINE YA KUKATIA MITI ILIYO TUMIKA KUMCHINJIA MAREHEMU ALIFANYA MAUAJI HAYO KWA UJIRA WA SHILINGI ZA KITANZANIA MILIONI MBILI(SH.2.000,000/=)YASEMEKANA HATA UKO SINGIDA ALIKIMBIA KESI YA MAUAJI.
source:MIMI MWENYEWE LIVE KUTOKA KATIKA TUKIO.
Aletoa pesa (au aliepewa awalipe Killers) analo fungu lingine la kuuwa wengine
Waulizeni wasira,nape , mkapa na mwigulu walitaka hivyo..... Nashauri awekwa katika mashujaa wa wapigania mabadiliko
naanza kuwa na wasiwasi, kama katika ngazi ya jimbo wamefanya hayo je ikitokea wakashindwa kitaifa itakuwaje!? Mungu apishe mbalihapo ndugu ndo utaona uzumbukuku wa CCM, wanawanyima watu elimu ili kuwarubuni na 2mil kuua wenzio......!
sasa hawa vijana wanakesha kny kumbi za VIDEO wanaiga muaji ya ACTION za kny moving wakidhani kule wanaua kweli, wao huku wanapractice reality....NI UMASKINI sababu ya NYINYIEM!
MTUHUMIWA HUYO ALMAARUFU KWA JINA LA (CHEWAJA)ALIKUWA NI MPANGAJI KATIKA NYUMBA YA MAREHEMUNI (waliishiwote myumba moja) NI MZALIWA WA SINGIDA,MKAZI WA ARUMERU MASHARIKI,AMEKAMATWA DODOMA AKIWA KWA MGANGA WA KIENYEJI,AWATAJA ALIOSHIRIKIANA NAO KATIKA MAUAJI HAYO MMOJA WAPO NI KADA WA CCM NA PIA NI MWANYEKITI WA KIJIJI,VILIO VILITAWALA BAADA YA MTUHUMIWA HUYO KURUDISHWA KIJIJINI CHINI YA ULINZI MKALI WA JESHI LA POLISI KUONYESHA OLIKOFICHA VIFAA VYA MAUAJI WANANCHI WAPANDWA NA HASIRA WATAKA KUMUUA ASKARI WAZUIA,SILAHA ZAKUTWA SHAMBANI KWA MWENYEKITI ZIKIWA ZIMEFUKIWA CHINI AMBAPO BAADA YA KUFUKUA WALIKUTA BUNDUKI MBILI,KISU PANGA,NA MASHINE YA KUKATIA MITI ILIYO TUMIKA KUMCHINJIA MAREHEMU ALIFANYA MAUAJI HAYO KWA UJIRA WA SHILINGI ZA KITANZANIA MILIONI MBILI(SH.2.000,000/=)YASEMEKANA HATA UKO SINGIDA ALIKIMBIA KESI YA MAUAJI.
source:MIMI MWENYEWE LIVE KUTOKA KATIKA TUKIO.
MTUHUMIWA HUYO ALMAARUFU KWA JINA LA (CHEWAJA)ALIKUWA NI MPANGAJI KATIKA NYUMBA YA MAREHEMUNI (waliishiwote myumba moja) NI MZALIWA WA SINGIDA,MKAZI WA ARUMERU MASHARIKI,AMEKAMATWA DODOMA AKIWA KWA MGANGA WA KIENYEJI,AWATAJA ALIOSHIRIKIANA NAO KATIKA MAUAJI HAYO MMOJA WAPO NI KADA WA CCM NA PIA NI MWANYEKITI WA KIJIJI,VILIO VILITAWALA BAADA YA MTUHUMIWA HUYO KURUDISHWA KIJIJINI CHINI YA ULINZI MKALI WA JESHI LA POLISI KUONYESHA OLIKOFICHA VIFAA VYA MAUAJI WANANCHI WAPANDWA NA HASIRA WATAKA KUMUUA ASKARI WAZUIA,SILAHA ZAKUTWA SHAMBANI KWA MWENYEKITI ZIKIWA ZIMEFUKIWA CHINI AMBAPO BAADA YA KUFUKUA WALIKUTA BUNDUKI MBILI,KISU PANGA,NA MASHINE YA KUKATIA MITI ILIYO TUMIKA KUMCHINJIA MAREHEMU ALIFANYA MAUAJI HAYO KWA UJIRA WA SHILINGI ZA KITANZANIA MILIONI MBILI(SH.2.000,000/=)YASEMEKANA HATA UKO SINGIDA ALIKIMBIA KESI YA MAUAJI.
source:MIMI MWENYEWE LIVE KUTOKA KATIKA TUKIO.