Iceman 3D JF-Expert Member Sep 3, 2016 20,614 67,078 Mar 20, 2017 #2 Kwani hadi kina dokta manyau nyau wame apply? Nimesikia Kenya kuna hatari kwa Madokta wetu dawa yao tuwapelekee hao hao, halafu wafanye kuwachokoza tuone.
Kwani hadi kina dokta manyau nyau wame apply? Nimesikia Kenya kuna hatari kwa Madokta wetu dawa yao tuwapelekee hao hao, halafu wafanye kuwachokoza tuone.
Kel-dizo JF-Expert Member Mar 24, 2015 423 168 Mar 20, 2017 #4 Hhahahahhh,,, umenifanya nicheke kwa sauti kubwa!
cocochanel Platinum Member Oct 6, 2007 26,773 73,517 Mar 20, 2017 #6 Ha ha haaaaaaaaa Lolote utarusha kumchafua Mh. JPM Hapa kazi tu
L lubhambo JF-Expert Member Apr 17, 2016 787 528 Mar 20, 2017 #8 Ni mzaha kupeleka madaktari kenya badala ya kuwapa ajira katika hospitals zetu zenye uhaba wa wasomi hao. Tuache kujipendekeza jamani,!!
Ni mzaha kupeleka madaktari kenya badala ya kuwapa ajira katika hospitals zetu zenye uhaba wa wasomi hao. Tuache kujipendekeza jamani,!!
M mamajj3 Member Jan 16, 2017 37 25 Mar 20, 2017 #9 Freyzem said: Click to expand... hahahahaaaa waganga tene jameni...
Freyzem JF-Expert Member Jun 29, 2013 10,052 24,442 Mar 20, 2017 Thread starter #10 cocochanel said: Ha ha haaaaaaaaa Lolote utarusha kumchafua Mh. JPM Hapa kazi tu Click to expand... JPM kachafuliwaje..?
cocochanel said: Ha ha haaaaaaaaa Lolote utarusha kumchafua Mh. JPM Hapa kazi tu Click to expand... JPM kachafuliwaje..?
Barbarosa JF-Expert Member Apr 16, 2015 22,584 27,786 Mar 20, 2017 #11 Freyzem said: Click to expand... Na wewe pia ni Mtanzania Mzalendo? so sad really sad Trump angesema!
Freyzem said: Click to expand... Na wewe pia ni Mtanzania Mzalendo? so sad really sad Trump angesema!
jebs2002 JF-Expert Member Sep 3, 2008 8,834 7,599 Mar 20, 2017 #12 Niko hoi, ngoja niitupe kwingine, mzee wa loliondo, manyaunyau n.k. wako wapi?
Freyzem JF-Expert Member Jun 29, 2013 10,052 24,442 Mar 20, 2017 Thread starter #13 Barbarosa said: Na wewe pia ni Mtanzania Mzalendo? so sad really sad Trump angesema! Click to expand... Kuna popote nliposema mimi ni mtz??
Barbarosa said: Na wewe pia ni Mtanzania Mzalendo? so sad really sad Trump angesema! Click to expand... Kuna popote nliposema mimi ni mtz??
Ngorunde Platinum Member Nov 17, 2006 4,111 8,348 Mar 20, 2017 #14 Asilimia kubwa ya Wakenya wanaidharau sana Tanzania! Ukiangalia kwa picha kubwa, utaona kwamba hawa nyang'au wanaona hakuna daktari wa Tanzania mwenye elimu ya kuweza kuwatibu wakenya, labda waganga wa kienyeji.
Asilimia kubwa ya Wakenya wanaidharau sana Tanzania! Ukiangalia kwa picha kubwa, utaona kwamba hawa nyang'au wanaona hakuna daktari wa Tanzania mwenye elimu ya kuweza kuwatibu wakenya, labda waganga wa kienyeji.