Hatimae waganga 500 kutoka Tz watua Kny kwa kishindo...

Freyzem

JF-Expert Member
Jun 29, 2013
10,024
24,374
2e3332d0d1438634a3f9fc86d2595355.jpg
 

Kwani hadi kina dokta manyau nyau wame apply?

Nimesikia Kenya kuna hatari kwa Madokta wetu dawa yao tuwapelekee hao hao, halafu wafanye kuwachokoza tuone.
 
Ni mzaha kupeleka madaktari kenya badala ya kuwapa ajira katika hospitals zetu zenye uhaba wa wasomi hao. Tuache kujipendekeza jamani,!!
 
Asilimia kubwa ya Wakenya wanaidharau sana Tanzania!
Ukiangalia kwa picha kubwa, utaona kwamba hawa nyang'au wanaona hakuna daktari wa Tanzania mwenye elimu ya kuweza kuwatibu wakenya, labda waganga wa kienyeji.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom