Mahubiri kuwa siri?Yaani iwe siri sirini tu?
Mbona sielewi miye?
Kwani mahubiri huwaje?
Huwa chumbani jamani?
Sielewi kitu jamani miye
Polepole anazidi kuwagombanisha watu badala ya kuwafanye wawe kitukimoja kupitia itikadi za dini,kwani anasema kwamba kiongozi wa dini akiwa na mwelekeo wa chama Fulani mtu wa chama kingine hawezi kwenda kwake kwa maana ya kwamba wana ccm wawe na maaskofu wao na wana chadema wawe na maaskofu wao kwa maana tu,wote ni wanachama wa chama husika,ameshindwa kuelewa kwamba askofu anaweza kuwa na itikadi ya chama Fulani lakini kwa upande wa dini akawa anawaudumia watu wa vyama vyote,hilo yeye Polepole halioni na kama ameshindwa kuliona hilo vipi ataona ualali wa mwana ccm kumuudumia mwana chadema katika hali ya kawaida? watu wenye mawazo kama ya Polepole hawatufai kabisa katika nchi hii ndio maana sasa hivi inaanza kujitokeza kwamba mwana chadema akipata tatizo kama alivyopata Lisu mwana ccm anashindwa kwenda kumuona na akienda anafikiriwa vibaya, hivyo polepole lazima aonywe mapema kwa huo mtazamo wake
Jakaya anawajua vizuri viongozi wa dini kwa kuwa wana ushawishi mkubwa kwa wana kondoo wao sasa huyu shetani anataka kupambana nao bila kujua mwisho wa siku ataumiaKupambana na askofu kakobe au kiongozi yeyote yule wa dini inamaanisha unataka kupambana na wananchi maanba wako wengi wanaoamini katika wao. Hivyo inapofika wakati unatakiwa tu uchomwe sindano ili upone jabo inauma inapoingia mwilini
Mbona wanaomba kuombewa na kutaka kusifiwa hadharani?? Wakubali pia kukosolewa hadharani....
Ushauri wa siri Pogba alishaukataa ndiyo maana hata watoa habari za ndani hapo magogoni wanalalamika chini2 jamaa hataki ushauri sasa inabidi Maaskofu wammegee dozi ya ugonjwa anaoumwa hadharaniTatizo wamezoea siri na watu wasiojulikana ndo maana wanataka iwe siri kumshauri bwana mkubwa
Sirini kwani kitubio hicho
Sindano zimeanza kuwaingia sasa.
Why don't you put it like this "you can love your country but hate the current administration" because country and government are two sides of the same coin.You can love your country without having to love your government!
Mbaya zaidi hata kuwakamata hawawezi.Sindano za maaskofu kumbe kidogo zinawaingia kumbe,
Maaskofu ongezeni Cc tafadhali
Natamani kujua hiliVipi alisema ikiwa kusifia nako iwe kwa siri?