Mwanzoni Alikataa kukutana na Maaskofu, Viongozi wa dini...Hii ilikuwa 2016 au 2017
Mara baada ya kutoa matamko ya kufuta mikutano ya siasa na bunge live, Serikali (Rais) aligoma kukutana na Viongozi wa Dini kwa ajili ya mazungumzo na upatanisho.
Taifa limegawanyika, kuwa na mawazo mbadala ni uadui na Upinzani ni Maadui
Wale wanaoisifia Serikali na CCM peke yao ndio Wazalendo, Wanaotoa mawazo mbadala ni maadui...Hata baadhi ya wanaCCM wenyewe wana mawazo mbadala ila wamejazwa hofu
Kipindi kile cha Nyerere au Mwinyi, aliruhusu mijadala huru....Mfano G 55
Mara baada ya kutoa matamko ya kufuta mikutano ya siasa na bunge live, Serikali (Rais) aligoma kukutana na Viongozi wa Dini kwa ajili ya mazungumzo na upatanisho.
Taifa limegawanyika, kuwa na mawazo mbadala ni uadui na Upinzani ni Maadui
Wale wanaoisifia Serikali na CCM peke yao ndio Wazalendo, Wanaotoa mawazo mbadala ni maadui...Hata baadhi ya wanaCCM wenyewe wana mawazo mbadala ila wamejazwa hofu
Kipindi kile cha Nyerere au Mwinyi, aliruhusu mijadala huru....Mfano G 55
