Hatimae Polepole ajibiwa na wana Arusha, kula chuma hichoo

Hatimae Polepole ajibiwa na wana Arusha, kula chuma hichoo

bro alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
1,898
Reaction score
2,256
Arusha miaka kadhaa nyuma ilikua ngome ya chadema Leo hii ni ccm damudamu

Fullstop, kwishaaaa

Screenshot_20250823-202719.png
 
Umati mkubwa uliojitokeza kwenye jogging waja na maandishi yasomeka hivi "mwambieni polepole mama Samia tunae sana


Fullstop, kwishaaa
 
Project hizo, wanapewa likaki wanatulia,,,, mijitu haijitambui
Mkuu project nyomi lote hilooo, hapo ukipeleka mambo ya chadema UNAWEZA dedishwa kabisa, maskini lisu akiona hii ataliaa kabisa anao wapigania washa ridhika na maisha


Fullstop,kwishaa
 
Siku ukipata mkwasi mrefu Tanzania ifanye kua mchepuko.

Hii nchi ina watu wenye kiwango kikubwa zaidi cha ujinga.

#Polepole #Lissu reforms ndo lugha ya waungwana!.
 
Mkuu project nyomi lote hilooo, hapo ukipeleka mambo ya chadema UNAWEZA dedishwa kabisa, maskini lisu akiona hii ataliaa kabisa anao wapigania washa ridhika na maisha


Fullstop,kwishaa
kumbe umejiunga juzi.....
 
Siku ukipata mkwasi mrefu Tanzania ifanye kua mchepuko.

Hii nchi ina watu wenye kiwango kikubwa zaidi cha ujinga.

#Polepole #Lissu reforms ndo lugha ya waungwana!.
Polepole ana andaliwakombora Moja tu anasaulika kabisa kwenye fikra za watz


Fullstop, kwishaaaaa
 
Back
Top Bottom