Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
chige bhana yaani sijui umepata wapi mda wa kuandika makala yote hiyo yaani nimesoma kichwa cha habari tu pale juu mwanzo!
Nimegundua unalazimisha kuwa kichaa! Yaani umeandika pumba yenye viwango vya RSG [Reli Standard Geuge]!!
Diamond ana roho ya mbaya kama ya Benjamin Netanyahu!
Acha kujiabisha,umesoma kichwa cha habari tu utasemaje ameandika Pumba?